Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,704
- 3,036
Hawa nyoka wapo. Ila si busara wakawa kila sehemu. Ni wakali na wakatili sana. Kwenye majumba ya kuhifadhia nyoka wapo. Arusha na Mikumi nimeona hawa nyokaBro ni nadra sana kumuona pamoja na maeneo kama tabora, itigi, manyoni kuwa na koboko wengi ila waliobahatika kuwaona wanaweza kuwa wachache mno