connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
Pipa la kifalme "Royal"
Lazima kuwe na standards mzee, yaani stock order lazima zifanane, labda kama unaongelea special order😂😂😂 uzuri wa ndege ndani inategemeana na operatoe atakavyo order ndegenyakeniwe irembwe vipi ndani, mfano naonaga unaweza ukakuta ndegenlabda B787 -8 ya ET ndani ipo sple ila ndege iyo iyo ila shirika la Singapore airline ndege zao ndani zipo vizuri ndani..
Kilimanjaro😉😄, siku ingine make use of Google search to avoid such annoying answersKirefu cha KLM ni nn mkuu?
Standard ni ktk mifumo tu, ila operator anaweza aka ifanyia urembo ndani, mfano izi A220 za wa awali hazikuwa na PTV, ila izi ambazo zilinunuliwa ivi karibuni izi 2 ndani zina PTV, ndege iyo iyo lkn shirika la senegal air, Baltic air, egypt airline ndege zao hazina PTV,Lazima kuwe na standards mzee, yaani stock order lazima zifanane, labda kama unaongelea special order
Schiphol- Nairobi-Kia-Zenj, Dar likitoka hapo mkwaju mpk SchipholHalafu ni hivi: huwa likitoka Amstedam linatua KIA. Likitoka KIA linakuja kutua JKIA kwa ajili ya kubadilisha CABIN CREW na kuchukua abiria wengine. Baada ya hapo destination ni Amsteradam tena bila kutua popote. Acha kabisa I see!
Emirates, Etihad zinazokuja bongo ni mangalangala hata Qatar.Hujawahi kupanda hizi Royal airlines wewe, nimepanda Emirates, Etihad kipindi wanaanza kuja Dar, ila siku napanda KLM nilihisi hii ndio ndege sasa.
Na wifi juu wameweka humo ndani hela yako tu kujaza bando.Ukipanda Airbus 380 si utachanganyikiwa kabisa. Kitu Dubai to JFK 14 hours mnakula tu upepo.
Hapo ndio unajua kweli mzungu mchawi
Hao mara nyingi huwa wanakuwa ni KQ ambao wali-merge na KLM. Ukimchukua m-dutch mwenyewe original route zake mara zote huwa zinakuwa ni Schiphol- KIA (anashusha watalii)- JKNIA (anabadilisha Cabin Crews) na baada ya hapo ni Schiphol tena moja kwa moja bila kukanyaga ardhiSchiphol- Nairobi-Kia-Zenj, Dar likitoka hapo mkwaju mpk Schiphol
Emirates mavyakula na manywaji Kama yoteMi nshapanda zote hizo, almost 3*each,
So I know ninachokisema, labda kama mambo yamebadilika kipindi hiki cha COVID -19, maana ndo sitatoka nje ya EA.
Kirefu cha KLMKirefu cha KLM ni nn mkuu?
KLM, abbreviation of Koninklijke Luchtvaartmaatschappij NV (Dutch: Royal Air Transportation Company), English: Royal Dutch Airlines, Dutch airline founded on Oct.Hata mimi sijui, unaweza google labda?
Kwa uzoefu wangu mdogo hili pipa klm hupaa saa 5 za usiku kuelekea Dar via Zanz.Mzinga wa pipa mmaae saa 2 kasoro Kia linapaa 2 Dar then AMSTERDAM
Kabla ya Jro huanza kutua Jkia mkuuHalafu ni hivi: huwa likitoka Amstedam linatua KIA. Likitoka KIA linakuja kutua JKIA kwa ajili ya kubadilisha CABIN CREW na kuchukua abiria wengine. Baada ya hapo destination ni Amsteradam tena bila kutua popote. Acha kabisa I see!
Hiyo sasa inakuwa inaelekea wapi, yaani ile inayotua Dar kabla ya Kilimanjaro? Inakuwa inatoka wapi na inaelekea wapi?Kabla ya Jro huanza kutua Jkia mkuu
Inaanza Nairobi kabla ya kiaHiyo sasa inakuwa inaelekea wapi, yaani ile inayotua Dar kabla ya Kilimanjaro? Inakuwa inatoka wapi na inaelekea wapi?
Hiyo sasa inakuwa inaelekea wapi, yaani ile inayotua Dar kabla ya Kilimanjaro? Inakuwa inatoka wapi na inaelekea wapi?
Saudi arabia bado wananyonga na nchi nyingi tu za asia hawataki masiharaHapana. Huko nyuma, wazungu wameuana sana hadi kufikia stage hii waliyopo sasa. Walikuwa kama tulivyo sisi leo, wakatumia adhabu ya kifo pasipo kusitasita; kitu ambacho kwa sasa hivi haiwezekani tena kukifanya; nchi yoyote ile popote pale duniani haiwezi kuruhusiwa tena kufanya kitu cha namna hiyo. Walifanya hivyo enzi zile za kale sisi tulipokuwa bado tuko kwenye enzi za ujima