establishment
JF-Expert Member
- Jun 27, 2015
- 1,641
- 2,471
YatajeUsimalize maneno mashirika yenye ndege tamu yako mengi.....sifia KLM kuwa ni miongoni mwaooo
YatajeUsimalize maneno mashirika yenye ndege tamu yako mengi.....sifia KLM kuwa ni miongoni mwaooo
Swissair tu inaipiga bao hiyo KLM mbali sanaYataje
Kufa sekunde tuNdege Raha sana
Mzee Mbona una complicate maisha? Wasomi bana….wewe unadhani mwenzako yupo sophisticated kama wewe kwenye haya mambo ya ndege? Jamaa anajua alipanda KLM. Hizi mbwembwe za Airbus siuNi sawa na kusema Dar Express bonge la basi, KLM ni shirika na siyo aina ya ndege, Bonge la ndege ulipaswa kutaja aina ya ndege uliopanda inayoendeshwa na Shirika la klm kama ni Air Bus (type gani), Boeing type gani nk. got it ?
Ha ha haIpo siku Bashite atavamia ofisi Yao na kutaka apewe hela
Asante Sana StudioOktoba tunatiki
JF bhana....kila mtu kapanda ndege tena mashirika makubwa ya maana 😂 😂