KKKT yatahadharisha kuhusu COVID19

KKKT yatahadharisha kuhusu COVID19

Malaika mkuu kasema covid 19 hakuna, nyie wakina nani mpinge?[emoji16][emoji16]
 
Uko sahihi badala ya kutujazia mikelele yao ya nyaraka wafunge tu makanisa yao tumechoka minyaraka kutwa
Kama wanasoma corona ipo wafunge makanisa waache ubabaishaji
Msipindishe ukweli. Wao wameshamaliza kazi yao. (Soma Ezekiel 33:1-6). Chukua tahadhari.
 
Madhehebu makubwa yanamiliki hospitali na vituo vikubwa vya afya hapa nchini. Kwa hiyo wanapata taarifa kila siku kuhusu maambukizi na vifo vitokanavyo na wimbi jipya la COVID 19.

Viongozi wa kidini wanatambua kuwa hata kama kulikuwa ubabaishaji mwingi ndani yake, yale maomhi ya mara ya kwanza yaliendana na lile wimbi la awali. Kukaa kimya na kutochukua hatua stahiki kwa hili wimbi la pili wanaona ni sawa na kumjaribu Mungu.
 
Uko sahihi badala ya kutujazia mikelele yao ya nyaraka wafunge tu makanisa yao tumechoka minyaraka kutwa
Kama wanasoma corona ipo wafunge makanisa waache ubabaishaji
Nyie vibwengu mtakua sio watanzania mna roho za kishetan kwan kila anaenda tofauti namfalme juha nikushambuliatu hata kwenye mambo yanayohusu maisha yenu.Hiv unajua kusoma kweli wew kibwengu?
 
Uko sahihi badala ya kutujazia mikelele yao ya nyaraka wafunge tu makanisa yao tumechoka minyaraka kutwa
Kama wanasoma corona ipo wafunge makanisa waache ubabaishaji
Kufunga nyumba za ibada huku ofisi, soko,Hospital na shughuli nyingine za kijamii zikiendelea ni matumizi mabaya ya akili.
 
Hapo sasa unaleta uchochezi dhidi ya Kanisa!!
Sasa mtu anataka waumini wachukue tahadhari ya namna gani? Akiachia watu waende kanisani utakuwa ni unafiki kama unafiki mwingine.

Kuna wale wengine wanasema kujikinga na corona mchana fanyeni kazi ila usiku jiwekeni lockdown. Kana kwamba kirusi kinalala mchana na kuamka usiku.
 
Kufunga nyumba za ibada huku ofisi, soko,Hospital na shughuli nyingine za kijamii zikiendelea ni matumizi mabaya ya akili.
Huko kwingine hawaamini kuwa Corona ipo huko mikanisani kwenu mnakoamini Corona iko mfunge makanisa yenu
 
Viongozi wa kanisa hawaongozwi na mihemko.
Na wala hawaongozwi na Corona

Mungu hakuwatuma kuhubiri habari za Coronaa bali za Yesu Wamepotoka wanahemuka na Corona badala ya kuhemka na Injili
 
Wasubuti kumfungia Rais wetu uone kama watabaki hata na muumini mmoja, makanisa yao yatabaki magofu .JPM ananguvu sana na amejijengea ufalme ndani ya mioyo ya mamilioni ya watanzania, afrika na dunia kwa ujumla. JPM ametuambia tutegemee Mungu na tumuombe atuepushe corona isiingie katika miili yetu. God bless our President and live long JPM
 
Hima hima ndugu zetu waanglikana, waislam na walokole fuateni nyayo tumkanyage shetani!!
 
Back
Top Bottom