Mzee baba hapendi kusikia hii kitu vorona 😀
Mzee baba hapendi kusikia hii kitu vorona 😀
Sasa wakifunga makanisa yule mwenyekiti wako mnafiki shoo za kupiga magoti kila jumapili atafanyia wapi?Uko sahihi badala ya kutujazia mikelele yao ya nyaraka wafunge tu makanisa yao tumechoka minyaraka kutwa
Kama wanasoma corona ipo wafunge makanisa waache ubabaishaji
Corona ni Mungu?USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO; among the best answers ever!
Hivi ukifunga kanisa ndio unakuwa umemuokoa raia huko mtaani?Kama wanaona corona ipo wafunge makanisa full stop vinginevyo ni ubabaishaji tu
Naskia huko tz jafo kaagiza kupiga nyunguCorona ni Mungu?