NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 654
- 1,452
TEC inapinga uwekezaji wa DP WORLDHivi TEC inapinga uwekezaji au inapinga mkataba wa DPW?
TEC inapinga uwekezaji wa DP WORLDHivi TEC inapinga uwekezaji au inapinga mkataba wa DPW?
Hajui kitu mtoa postWanaunga mkono uwekezaji ila SIYO mkataba ulivyo ndiyo maana walitoa maoni yao (viongozi wa dini)
Haina haja ya kuwapigia maana wameshasema wazi kuwa wanaupinga mkataba na wala si uwekezaji..!! Na wakaenda mbali zaidi kwa kuweka vipengele vya kwenye mkataba vinavyowafanya waupinge mkataba huo wa DPW. Nimeuliza swali hilo kwa namna hiyo ili mtoa hoja aweze kuelewa kwa urahisi hoja yangu ilipo..!!Kama kuna namba ya simu katika waraka wao kuwa huru kuwapigia.
Soma Waraka vizuri wanapinga uwekezaji.Kwani TEC lini walikataa uwekezaji wa Bandari? Wote wenye akili wanakataa mkataba si uwekezaji
Ukisoma waraka kwa umakini utaona wanapinga uwekezaji.Hivi TEC inapinga uwekezaji au inapinga mkataba wa DPW?
Wanapinga uwekezajiHujui kitu wewe,kwani TEC wanapinga uwekezaji au wanapinga mkataba mbovu?
Hâta Kkkt wamemwambia atumie busara katika mkataba huo
Unajua maana ya kutumia busara?
SIyo kweli, wanapinga mkataba wa DPWUkisoma waraka kwa umakini utaona wanapinga uwekezaji.
Nimekuwekea na ushahidi hapo juu. Nafikiri wewe unabisha tu ili masaa na siku zisogee. Go back to re-read tha circular.SIyo kweli, wanapinga mkataba wa DPW
Inapinga Mkataba !!Hivi TEC inapinga uwekezaji au inapinga mkataba wa DPW?
....usome ndani ya familia yako MWAKA MZIMA....
#Nchi Kwanza
Mchawi lughaInteresting!
Rubbing more salt to the wound.....
These theatrics to rekindle centuries old, Protestant-Catholic schism will terribly backfire.
"Naomba ieleweke wazi Kanisa linaunga mkono uwekezaji, hatupingingi uwekezaji na tunajua wewe kwenye nia yako unataka uwekezaji, hata hivyo jambo hilo limekuwa na maoni mbalimbali ya wananchi na vyombo vya habari, lakini Mheshimiwa Rais tunatambua kwamba sisi viongozi wa dini zote tuliomba kuja kukuona pale mwanzoni na ulitupokea na tulikuletea maoni yetu kama viongozi wakuu wa dini, ukaahidi kuwa maoni yatafanyiwa kazi, tuna imani na wewe"
"Ninatambua kuwa ulipokea kijiti katika mazingira magumu sana, lakini pia pamoja na mazingira yale wewe ukaanza historia mpya ya nchi yetu ya kuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Urais, kuna wengi hawakuamini, hawakutaki na mpaka leo wamebaki na jinamizi la namna hii, huu ulikuwa ni mpango wa Mungu"
"Najua katika jambo hilo linaelekea mahali tunataka kugawanyika kabisa, wengine wanatumia sababu za kidini, wengine wana maslahi yao ya kisiasa na kiuchumi, nashukuru Mungu amekujalia hekima kama mama na kiongozi, umekaa kimya" - Askofu Dk Fredrick Shoo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
Miaka60YaKKKT
Ni kweli watanzania wana uwezo wa kuendesha kama wakiongezewa uwezo. Kama ni ngumu basi DPW aje afanye ubia na serikali kwa kipindi maalumu kisichozidi miaka 30. Aendeshe bandari ya Dar essslam tu. Na mgawanyo wa fedha uwekwe waziSehemu ya 3 na 4 na nyinginezo TEC wanasema kwamba Watanzania wana uwezo wa kuendesha hizi bandari na kwamba waongezewe uwezo zaidi jambo linaloonesha kwamba sio wanapinga mkataba bali wanapinga uwekezaji. Nashangaa baadhi ya watu walioongea hapo juu kama kweli wameupitia huo waraka.