KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

Mkristo wa mashehebu yaliyo chini ya cct au rc chini ya tec. Kuna. Mambo mawili makubwa au sakramenti moja ubatizo na pili kipaimara .
Maana yake wewe unatambua utaratibu na kiuutii kuufuata.
Km alivyo askari anapokuja mzalendo ,kuruta mpaka kuwa mtumishi anafundishwa vitu vya kuishi maisha yake yoote.
Sasa km unaenda kinyume na hicho hata km unafanana lazima upewe jina jingine mfano unaweza kuwa muasi ,mwanamapinduzi nk
kuwa muasi si tusi Ila ww unataka kuendesha mambo tofauti na ulivyo yakutwa yamepangwa kwa utaratibu uliokuta.
Mruteli yeyote. Atakaye kwenda kinyume na mafundisho ya uruteli basi hakuiva anapaswa kuanzisha kanisa jingine au kwenda kwa wanao mfaa na si vinginevyo. Yaani mfano rc Kuna mashirika mbalibali ya kitawa,mtu umepewa parikia uiendeshe km shirika la kitawa wakati utaratibu wa kuendesha. Parokia upo na unajua na umeauapa kuutii. Unadhani askofu mkuu wa Jimbo husika achilia na papa atakuacha salama?
Unapaswa kutetea mapokeo yako bila kuangalia waislam watasemaje kwa sababu waislam sio wa dini yako. Na hamkai mkapa ga pamoja, wao Wana ya kwao Yana wasumbua na wanatafuta wao njia za kutatua na ww pia. Pambana bila kuangalia asie wa mapokeo yako anafanyaje.
 
Baadhi ya maaskofu wanavuruga kanisa. Angalia kule Rukwa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Askofu Mwa... alivyovuruga kanisa. Mbeya Askofu Mwa... nae kavuruga. Sasa Dayosisi ya Mashariki na Pwani mwingine tena Askofu Ma... amelianzisha. Nyie akina Mwa... kutoka Mby Mungu anawaona
Tatizo nikutokupenda kuwa chini ya taasisi! Viburi na kujiona bora zaidi ndipo shida
 
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.

Ila kwenye hili...

Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...

Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)

But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
Afate Utaratibu Tu Hakuna Namna
Hawa Viongozi Wetu Mahubiri Yao Yanafuatiliwa Kwa Karibu Na Mamlaka Zilizo Juu Yake. Ukakasi Upo Sehemu
 
Kwa mujibu wa barua kastopishwa na kapewa likizo ya lazima na akirudi aripoti jimboni tofautisha na kuhamishwa Chief.
Umapokwenda likizo ya hiyari au lazima haupaswi kujishugukisha na Jambo lolote la ofisi labda mwwajiri akuite
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Njoo UWATA kanisa zuri chimbuko la wokovu hutajuta maisha Yako yoooote
 
Kapewa likizo,yule ni muajiliwa km mwalimu au daktari na Wana viapo vyao,kupewa likizo mwajiri wake,ifahamike muajiri anaweza kukupa likizo au wewe muajiriwa. Kuomba likizo.
Kuna Aina nyingi za likizo,na baada ya likizo ameambiwa akaripoti makao makuu maana watampangia majukum .
KKKT ni kanisa la kimnyororo,leseni yake ya kukaa kuhubili au kufundisha neno la Mungu imedhaminiwa na kanisa na kwayo ana kiapo Chao Cha kueshimu sio mamlaka tu Bali mapokeo ya kanisa yaani uruteli na si vinginevyo.
Kabla ya yeye kulikua na changamoto za askofu Jerry dhidi ya KKKT, na mwisho wake tunaukumbuka wote ,hivyo naona Mimi ni kawaida ndo kukua kwa kanisa na Imani yao,
Pia Kuna yule askofu Mungu dhidi ya Dayosisi yake,
Unaposajili kanisa Kuna taratibu kanuni miongozo na taratibu,ndo maana anapoapishwa anakili kuufuata mafundisho ya Luther na si vinginevyo.
Km Kuna karama zingine unaruhusiwa kuwa na vipindi baada ya ibada .
Kulikua na changamoto km hizo kwa padre Nkwela kuhusu kalama yake na mafundisho ya ukatoliki. Na katoliki walichukua. Hatua stahiki kwa wakati dhidi ya mapokeo yao.
Hivyo tusilichukulie suala personal badala ya kulichukulia km suala.la.kitendaji kwa maana pale kijitonyama sio usharika wa kwanza kuanzisha yeye na. Hata baada ya. Yeye watakuja wengine. Na wengine .
Uko sahihi
 
Mkristo wa mashehebu yaliyo chini ya cct au rc chini ya tec. Kuna. Mambo mawili makubwa au sakramenti moja ubatizo na pili kipaimara .
Maana yake wewe unatambua utaratibu na kiuutii kuufuata.
Km alivyo askari anapokuja mzalendo ,kuruta mpaka kuwa mtumishi anafundishwa vitu vya kuishi maisha yake yoote.
Sasa km unaenda kinyume na hicho hata km unafanana lazima upewe jina jingine mfano unaweza kuwa muasi ,mwanamapinduzi nk
kuwa muasi si tusi Ila ww unataka kuendesha mambo tofauti na ulivyo yakutwa yamepangwa kwa utaratibu uliokuta.
Mruteli yeyote. Atakaye kwenda kinyume na mafundisho ya uruteli basi hakuiva anapaswa kuanzisha kanisa jingine au kwenda kwa wanao mfaa na si vinginevyo. Yaani mfano rc Kuna mashirika mbalibali ya kitawa,mtu umepewa parikia uiendeshe km shirika la kitawa wakati utaratibu wa kuendesha. Parokia upo na unajua na umeauapa kuutii. Unadhani askofu mkuu wa Jimbo husika achilia na papa atakuacha salama?
Unapaswa kutetea mapokeo yako bila kuangalia waislam watasemaje kwa sababu waislam sio wa dini yako. Na hamkai mkapa ga pamoja, wao Wana ya kwao Yana wasumbua na wanatafuta wao njia za kutatua na ww pia. Pambana bila kuangalia asie wa mapokeo yako anafanyaje.
 
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
 

Attachments

  • 5155827-734a386493bc5ca1b051839e610e2fb4.mp4
    7.5 MB
Naomba nianze kwa kuwapa pole waumini ambao walibarikiwa na mchungaji kimaro!

Kazi ya kitume ni kama mvua, inanyesha kwa wakati wake na kupisha kwa muda ili shughuli zingine zifanyike, mpate muda wa kupanda, kuvuna, na hata kuezeka panapovuja.

Yamkini mvua ya mahubiri ya mchungaji kimaro ilipendwa na wengi, ili stawisha imani za watu wengi, ili punguza joto kali la mizigo.

LAKINI Tusisahau mvua za namna hii kwa upande mwingine zina majanga yasiyoonekana bayana!

Yamkini kupitia mvua hii watu walizibua mitaro yao, yamkini mvua hii ilileta limonia,yamkini kuna mahali palivuja sana.

Hivyo mambo kama hayo huwezi kuyaelewea kama ukiitazama mvua kwa lengo la masika!

Mchungaji ELIONA KIMARO ANAWEZA KUWA NA SHIDA GANI?
Mimi siyo kiongozi wala muumini wa KKKT! Mimi bado natafta kanisa zuri hata humu jf niliwahi kuuliza kanisa gani zuri ili nikajiunge.

Hivyo Kwa uzoefu wangu na elimu yangu ndogo ya kuchunguza matukio kama haya ikiwemo migogoro ya kiimani, kijamii, mauaji, siasa na uchumi n.k

Naweza kusema mchungaji ELIONA KIMARO Ana sifa zifuatazo
  • Mchungaji kimaro analijua andiko analolihubiri
  • Mchungaji kimaro anawajua waumini anaowahubiri na shida zao
  • Mchungaji kimaro anaijua vyema jamii anayo ihubiri
  • Mchungaji kimaro hayumbishwi hasa pale anapokuwa kapanga jambo lake!
  • Mchungaji kimaro siyo msimamizi mzuri wa rasilimali na fedha za kanisa ( fedha ni rahisi kupotea mikononi mwake)
  • Mchungaji kimaro kwa kutambua karama yake anaitumia kuficha madhaifu mengine hasa kwenye matumizi ya fedha!
  • Kuna uwezekano mkubwa wa wa kuonywa lakini kwa kiburi cha kupendwa na waumini aliamini hagusiki!
  • Kwa karama yake ya kichungaji alipogundua viongozi wakuu wake wana jambo naye! Alianzisha semina nyingi za mafunzo ili atakapoitwa WAUMINI Waone kama kuna shida!
ELIONA KIMARO ni mchungaji mzuri sana! Na hili ndilo lengo la makanisa mengi ikiwemo kanisa hili la KKKT!

Lakini kwasababu kanisa lina hitaji uponyaji wa kiroho, kimwili na kiuchumi! Ni lazima VIONGOZI wake wafanye hivyo walivyofanya! Kumuhamisha kwasababu za ndani za kiuchumi! HAWAJAKURUPUKA

Hata viongozi wanaweza kuwa wanampenda sana ELIONA KIMARO Lakini haina budi kupisha eneo hilo linalohitaji usimamizi bora wa kiroho, kimwili na kiuchumi kwa mstakabali wa kanisa zima!

Ikiwapendeza viongozi wanaweza kumrudisha lakini awe chini ya usimamizi wa mchungaji mwingine!
Lakini kwa kutambua nguvu aliyonayo kimaro kuwa chini ya mtu palepale Kijitonyama ni changamoto!

Huenda viongozi wameona ni bora sasa akatumike na kwingine.

Kama lengo lingekuwa moja tu kuinjilisha huenda wangemuacha.

Lakini kwasababu linahitaji kukua zaidi kiroho na kiuchumi, ndiyo maana VIONGOZI WAMEFIKIA UAMUZI HUU.

Endeeleeni kusubiri taarifa ya KKKT lakini nauhakika haiwezi kuwa mbali na maoni yangu.

Wewe unampenda kimaro, Viongozi wanampenda kimaro lakini tusisaha Kanisa la KKKT ni kubwa kuliko Kimaro.

Tuliokaribu naye tumsihi asiwaone wabaya viongozi, alipokee hili kwa wema na akatumike popote atakapopangiwa.

Asikuruouke KUHAMA au KIANZISHA KANISA ATAPOTEA, Atambue kwamba mbio zake ni kama samaki baharini,

Kimaro anaonekana kupiga mbizi za kuvutia akiwa ndani ya KKKT, akitoka inje ATAPOTEA!
KKKT ni bahari inayomfanya a-shine!
Asithubutu kutoka Bali atii mamlaka yake ilivyoamua!

Mapadri wa kikatoliki huhamishwa, wachungaji KKKT huhamishwa, Kimaro asione ajabu kuhamishwa.

Yesu alihubiri Galilaya, Yerusalem, Kapenaumu hata kirindini kwa wavuvi kanisa!

Kwanini KIMARO ang'ang'ane pale pale kijitonyama na sio kwingine? HAMJIULIZI HILO?

JF ukweli na uwazi.

View attachment 2484976
Wewe umesema huna pa kusali, sasa haya mambo ya kimaro ya kutokuwa mwaminifu ktk mambo ya fedha, umeyajuaje? Nikisema wewe ni mmoja wa hao wenye wivu na mafanikio yake na kuamua kuleta hoja ya ubadhirifu utakataa?
Basi Mjue, hata mkimtoa, hamtafanikiwa kumzima... Yeye anatumia kipawa chake kwa ubunifu na upendo mkubwa ktk kujenga ufalme wa Mungu wakati wengine wana angalia vyeo na pesa.... Muda utaongea tu, na aibu yenu mtaipata!
 
Wewe umesema huna pa kusali, sasa haya mambo ya kimaro ya kutokuwa mwaminifu ktk mambo ya fedha, umeyajuaje? Nikisema wewe ni mmoja wa hao wenye wivu na mafanikio yake na kuamua kuleta hoja ya ubadhirifu utakataa?
Basi Mjue, hata mkimtoa, hamtafanikiwa kumzima... Yeye anatumia kipawa chake kwa ubunifu na upendo mkubwa ktk kujenga ufalme wa Mungu wakati wengine wana angalia vyeo na pesa.... Muda utaongea tu, na aibu yenu mtaipata!
Hao ndiyo waleeee!!!!
 
Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)
Hili huwa ni tatizo kwa waliowengi kuona kama wana haki miliki ya Mtaa, Usharika, Jimbo na Dayosisi wakati mtumishi wa Mungu anatakiwa kuwa tayari kuhubiri au kutumika popote wakati wowote, yeye ni kama askari wa vita hachagui uwanja wa mapambano
 
Hili huwa ni tatizo kwa waliowengi kuona kama wana haki miliki ya Mtaa, Usharika, Jimbo na Dayosisi wakati mtumishi wa Mungu anatakiwa kuwa tayari kuhubiri au kutumika popote wakati wowote, yeye ni kama askari wa vita hachagui uwanja wa mapambano
Sawa
 
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.

Ila kwenye hili...

Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...

Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)

But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
Nimeitwa nimepewa barua ya likizo y asiku 60 imenilazimu kwenda likizo ya siku 60 nitarudi tarehe 17.03.

Jana nilikwenda Makao makuu... nitaku lkizo ya siku 60 Mungu akipenda nitarudi 17.03. Bado kiroho tutawakuwa pamoja......... Ila asingweza kusema hivyo tayari
 
Mimi ni Muumini wake mzuri sana pale Kitonyama Mkesha wa Mwaka Mpya nilikuwa hapo na Mch.Kimaro ana Mafundisho mazuri sana hasa ya Ki Imani.

Ila kwenye hili...

Mch.Kimaro anapaswa kuwa na hekima ya ki Mungu sana kwenye hili lililotokea...

Ingewezekana hata ile kuaga angeaga kawaida tu kama Wachungaji wengine wanavyoaga kwenye Sharika zao wakipata Uhamisho ila ile kuaga ameonesha kuna uonevu kafanyiwa.(Ni Mtazamo wangu)

But yote kwa yote sijui nini kimetokea hadi kupelekea hayo..Nimuombee tu yamalizike salama na arejee kwenye kulisha Kondoo wake.
hamjayajua mafundisho mazuri, ndio maana hata hayo mnaona mazuri. sawa na mtoto wa maskini kusema anakula chakula kizuri, akija kulishwa kile cha watoto wa masaki, ataona hajawahi kula kabisa. okokeni, jiungeni na makanisa yanayohubiri wokovu na kuongozwa na Roho (wala sio hayo ya manabii na mitume, ila yale wa wokovu wa kweli), hapo mtajua nini mahubiri na nini makapi hata kama mtu anajua kuongea tu mbele za watu na kutafuta popularity.
 
Back
Top Bottom