KKKT lahaha kumsafisha Askofu Malasusa

KKKT lahaha kumsafisha Askofu Malasusa

Haziwezi kuwa porojo na kwa ubaya wa hizo porojo,mtumishi wa kiroho akakaa kimya kiasi cha kutiliwa shaka kubwa.
Porojo hizi zina chembe chembe za ukweli ndani yake na ndiyo maana mchunga kondoo amekubali kuwa kimya ahukumiwe kwa namna yoyote ili YAISHE(YESHEEE)
Kukaa Kimya ndiyo jibu sahihi kwa wapumbavu!
Biblia inasisitiza sana kuhusu kumjibu Mpumbavu kwa kukaa kimya!
 
Haya endeleeni kutoa hukumu, ila jambo moja nina uhakika nalo ni hili!...
Hakuna hata mmoja wenu aliyeshuhudia tukio hili la "UZINZI" wa Askofu MALASUSA, wote mnashabikia tu uzushi wa akina SAED KUBENEA!
Kwahiy mkuununataka tushabikie ya kwako ya kumsafisha bila mwenyewe kutoka pangoni?
Mwambie aje jamvini atueleze ukweli kama mwanahalisi lilivyokuja na kama alivyokuja mume anaeibiwa.
 
Mwenye macho haambiwi Tazama na Mwenye Masikio haambiwi Sikia iweje uchafuliwe na gazeti alafu ukae kimya
MALASUSA ndio wa Kwanza kuchafuliwa na magazeti ya UDAKU kama MWANAHALISI na MSETO?
Mbona LOWASSA mtumishi wa MUNGU alichafuliwa sana na haya magazeti na bado alikaa kimya? Maandiko kutoka katika Biblia takatifu yanafundisha hekima ya kuwakabili waandishi na mafarisayo wanafiki!
 
Kukaa Kimya ndiyo jibu sahihi kwa wapumbavu!
Biblia inasisitiza sana kuhusu kumjibu Mpumbavu kwa kukaa kimya!
Tuhuma hizi hazitolewi na baba au mama kwa mwanawe zikastahili kuzijibu kwa kukaa kimya,hapa malasusa anaongoza watu kuwakataza maovu,vipi awe kimya wakati hilinni jambo ovu?na ni miongoni mwa yaliyokemewa?kuvunja amri ya sita[emoji15]
 
Huu upuuzi wa Mwana Halisi utafikia kikomo lini, naona mleta mada wa awali kaamua kubadili ID kabisa...
Yule mwanaume aliyeibiwa mke na Mchungaji, atakuona wewe ndo mpuuzi!
 
MALASUSA ndio wa Kwanza kuchafuliwa na magazeti ya UDAKU kama MWANAHALISI na MSETO?
Mbona LOWASSA mtumishi wa MUNGU alichafuliwa sana na haya magazeti na bado alikaa kimya? Maandiko kutoka katika Biblia takatifu yanafundisha hekima ya kuwakabili waandishi na mafarisayo wanafiki!
Embu msaidie basi kuyakanusha hayo anayotuhumiwa nyiny ndio nnaofuata viongozi wa dini kwa Upofu hata wakutwe gesti na mapicha yasambazwe mtawakingia kifua jua Mungu aliyembinguni yeye ndo anayajua kiundani tunayoyafanya usiku na mchana kwaiyo Usifuate Upofu mtu akienda kombo wew inabidi usimame upande wa haki na sio kutetea maovu
 
Tuhuma hizi hazitolewi na baba au mama kwa mwanawe zikastahili kuzijibu kwa kukaa kimya,hapa malasusa anaongoza watu kuwakataza maovu,vipi awe kimya wakati hilinni jambo ovu?na ni miongoni mwa yaliyokemewa?kuvunja amri ya sita[emoji15]
Tuhuma za kijinga zinajibiwa kwa kukaa kimya na si vinginevyo! Maombi ndio ngao kuu! Hawa MWANAHALISI na MSETO tunawaacha waendelee kubwabaja tu!
 
Mimi nilijua watu humu jamvini watatafuta ukweli wamebaki kulishambulia gazeti, je kama linasema ukweli hamtaki pia, shetani tu ndio anapendezwa na uongo, tafuteni kweli nayo itawaweka huru, kama mtu kakosea kweli aambiwe.
 
Embu msaidie basi kuyakanusha hayo anayotuhumiwa nyiny ndio nnaofuata viongozi wa dini kwa Upofu hata wakutwe gesti na mapicha yasambazwe mtawakingia kifua jua Mungu aliyembinguni yeye ndo anayajua kiundani tunayoyafanya usiku na mchana kwaiyo Usifuate Upofu mtu akienda kombo wew inabidi usimame upande wa haki na sio kutetea maovu
Huko unakonipeleka siko! Naona wewe unataka tuanze kutazama maovu ya viongozi wa DINI! Sio lengo langu hilo!
Nafahamu binadamu wana mapungufu yao! Ila hilo halihalashi MWANAHALISI kuandika habari za UDAKU kuwahusu viongozi wa dini, tena zisizo na uhalisia! Mimi ninachopinga ndio hicho!
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu. Lakini tunachopinga kwanini Mwanahalisi wanaandika habari za upande mmoja? Bila ya kuwa na uthibitisho? Mambo haya yangefanywa na shigongo, siyo kubenea! Credibility ya mwanahalisi imeshuka sana!
Upande wa pili hautaki kuongea sasa wafanyeje? Remind you hii ni mara ya pili malasusa kuandikwa, mwaka jana aliandikwa kuhusu kununua makahaba ng'ambo, sasa swali ni hivi, kwanini anaandikwa yy tu, pili kama kafanya yeye sio kanisa limefanya.
 
Wewe ndio mpuuzi mwili mzima; kwani unamkingia kifua muhuni; mgoni eti mtumishi wa Mungu anayeshiriki kuvunja taasisi takatifu ya ndoa! Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu!
Kama Malasusa ni msafi ajitokeze hadharani akanushe taarifa hizi yeye
mwenyewe au kama ni taarifa za kizushi akafungue mashtaka; tumechoka na mitumishi mifirahuni inayojificha nyuma ya jina la kanisa! Malasusa come clean; kunyamaza kwako kunalidhalilisha kanisa la Mungu!
Ndio maana Biblia imekataza Wanawake kuwa Wachungaji kwa kupitia kitabu cha 1Timotheo.2;8-14 kupuuza neno la Mungu ndio matokeo yake.Anguko kubwa kwa mtumishi wa Mungu.1TIMOTHEO.3;1-6
 
Wewe ndio mpuuzi mwili mzima; kwani unamkingia kifua muhuni; mgoni eti mtumishi wa Mungu anayeshiriki kuvunja taasisi takatifu ya ndoa! Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu!
Kama Malasusa ni msafi ajitokeze hadharani akanushe taarifa hizi yeye
mwenyewe au kama ni taarifa za kizushi akafungue mashtaka; tumechoka na mitumishi mifirahuni inayojificha nyuma ya jina la kanisa! Malasusa come clean; kunyamaza kwako kunalidhalilisha kanisa la Mungu!
Ndio maana Biblia imekataza Wanawake kuwa Wachungaji kwa kupitia kitabu cha 1Timotheo.2;8-14 kupuuza neno la Mungu ndio matokeo yake.Anguko kubwa kwa mtumishi wa Mungu.1TIMOTHEO.3;1-6
 
Huko unakonipeleka siko! Naona wewe unataka tuanze kutazama maovu ya viongozi wa DINI! Sio lengo langu hilo!
Nafahamu binadamu wana mapungufu yao! Ila hilo halihalashi MWANAHALISI kuandika habari za UDAKU kuwahusu viongozi wa dini, tena zisizo na uhalisia! Mimi ninachopinga ndio hicho!
Sawa wewe umejuaje kama hazina uhalisia Je bwana Venance Na mkewe hawapo ni jambo la kutungwa tu naomba unijuze kiuadilifu bila Jazba
 
Upande wa pili hautaki kuongea sasa wafanyeje? Remind you hii ni mara ya pili malasusa kuandikwa, mwaka jana aliandikwa kuhusu kununua makahaba ng'ambo, sasa swali ni hivi, kwanini anaandikwa yy tu, pili kama kafanya yeye sio kanisa limefanya.
Mkuu sidhani kama ulifikiri vyema hapa! Natural Justice inasemaje!? Kwahiyo hizo sheria zako zinasema kuwa ikitokea ukisingiziwa zaidi ya mara moja hilo jambo linageuka kuwa ukweli?
 
Mkuu haina haja ya matusi, pinganeni kwa hoja inatosha tu.
Wewe ndio mpuuzi mwili mzima; kwani unamkingia kifua muhuni; mgoni eti mtumishi wa Mungu anayeshiriki kuvunja taasisi takatifu ya ndoa! Ushindwe na ulegee kwa jina la Yesu!
Kama Malasusa ni msafi ajitokeze hadharani akanushe taarifa hizi yeye
mwenyewe au kama ni taarifa za kizushi akafungue mashtaka; tumechoka na mitumishi mifirahuni inayojificha nyuma ya jina la kanisa! Malasusa come clean; kunyamaza kwako kunalidhalilisha kanisa la Mungu!
 
Sawa wewe umejuaje kama hazina uhalisia Je bwana Venance Na mkewe hawapo ni jambo la kutungwa tu naomba unijuze kiuadilifu bila Jazba
Hakuna uthibitisho wowote kutoka upande wa Pili, Sio Malasusa wa chombo chochote chenye mamlaka ya kutoa haki kilichothibitisha uzushi huu, sio sawa kumhukumu mtumishi huyu kiurahisi hivi, Shetani hawezi kuchukua utukufu hapa!
 
Mkuu sidhani kama ulifikiri vyema hapa! Natural Justice inasemaje!? Kwahiyo hizo sheria zako zinasema kuwa ikitokea ukisingiziwa zaidi ya mara moja hilo jambo linageuka kuwa ukweli?
Unajua mkuu hawa maaskofu ni wanadamu na wana weakness zao pia, Je ukikuta incident ni ya ukweli utasemaje? mimi nilitegemea angejitokeza na kuongea ili tupate other side of the story, kukaa kwake kimya kunazusha maswali zaidi, unajua watanzania wa miaka hii sio wale wa 47.
 
Kukaa Kimya ndiyo jibu sahihi kwa wapumbavu!
Biblia inasisitiza sana kuhusu kumjibu Mpumbavu kwa kukaa kimya!
Yesu alikuwa akijibu kila hoja,pamoja na kutambua kuwa mafarisayo na makuhani ni wanafiki.

Asipo jibu shutuma zitabaki kuwa kweli,na kama ni za kweli akijaribu kujibu ndio atazidi kujichanganya.

Mimi mluteri ila simtetei mtu yeyote hata kama ni askofu,kumbuka kila mtu na mzigo wake.
 
Unajua mkuu hawa maaskofu ni wanadamu na wana weakness zao pia, Je ukikuta incident ni ya ukweli utasemaje? mimi nilitegemea angejitokeza na kuongea ili tupate other side of the story, kukaa kwake kimya kunazusha maswali zaidi, unajua watanzania wa miaka hii sio wale wa 47.
Mkuu, Malasusa kukaa kimya hakuhalalishi huu udaku wa KUBENEA na WENZIE!
 
Back
Top Bottom