kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
Tuache kula chakula kwani hutupeleka kwenye ulafi.kula chakula ni dhambi?Huwezi kunywa pombe bila kukupelekea kutenda dhambi. Pombe = dhambi
Tuache kula chakula kwani hutupeleka kwenye ulafi.kula chakula ni dhambi?Huwezi kunywa pombe bila kukupelekea kutenda dhambi. Pombe = dhambi
Nainunuaga kwa masster vigwaza au ile altar wine ya Dodoma ,inalewesha aseeeSawa, kwasasahv ukinywa haina tatizo mkuu.
haupo mkuu ndio maana watu walikua wanagonga mvinyo tu kipindi cha yesu..Unaonekana kuwa na uelewa mdogo au bifu kwa Askofu Dr. Malasusa
Kilichokataliwa katika Biblia Takatifu ni "ULEVI"
ULEVI hata wa Chakula kingi ni dhambi kabisa kama ilivyo Uzinzi, Wizi n.k
Unaweza kunionesha mstari wowote katika biblia unaokataza POMBE?
AMINA.Mumwache Askofu wetu,kama unaona ana makosa uwe wa kwanza kwenda kumwambia na kumhukumu ila hakikisha wewe ni msafi.Matayo 15:11 inasema kimwingiacho mtu sio najisi bali kimtokacho.
Mwombee Askofu tena mwombee sana Mungu pekee ndio anayejua hakupata cheo kwa bahati mbaya.
Hawa hawachoki kumsakama askofu huyu mtumishi wa Mungu.Unaonekana kuwa na uelewa mdogo au bifu kwa Askofu Dr. Malasusa
Kilichokataliwa katika Biblia Takatifu ni "ULEVI"
ULEVI hata wa Chakula kingi ni dhambi kabisa kama ilivyo Uzinzi, Wizi n.k
Unaweza kunionesha mstari wowote katika biblia unaokataza POMBE?
Kwa taarifa yako hata "Yesu" anitambua pombe. Nakumbuka alienda kwenye harusi, watu wakaishiwa divai, akaagiza maji yakaletwa halaf akabariki "watu wakanywa wakalewa kweli kweli,,,,! Nuhu mwenyewe aliwahi kunywa akalewa ila sikuwahi sikia kwamba" Nuhu alitenda dhambi ya kulewa",. Asante,,,Hata shetani lazima amshangae huyo askofu. Hivi hata kwa kuangalia madhara ya pombe kijamii tu haitoshi mtu kuelewa kuwa pombe ni kitu haramu ambacho Mungu mtakatifu anayejali ustawi wa viumbe wake ansingewez kuruhusu pombe kuwa sehemu ya mpango wa chakula au kinywaji kwa viumbe wake. Hii haihitaji kuwa mtaalamu wa Biblia kulielewa bali common sense. Wanaounga mkono unywaji wa pombe ni mateka wa Shetani ambao wamepotoshwa na mafundisho potofu ya kanisa Katoliki na mabinti zake yanayohalalisha pombe kwa kutafsiri Biblia kulingana na tamaa zao.
Hapo ndio mnapojitoa ufahamu. Pombe haindoi ufahamu bali ulevi. Alafu Biblia haijipingi hivyo ni vema kusoma mistari yote ili kujua kusudio la Mungu. Jiulize kwanini maandiko yanasema Askofu awe mtu wa mke mmoja na asitumie mvinyo lakini pia inasema mashemasi watumie mvinyo kidogo. Unafikiri Biblia imejipinga? Ni vyema kujipima mwenyewe ...ukiona ukipata chupa mbili tayari hujiwezi achana na pombe. Wengine wanakunywa kwa wastani kufurahia maisha then wakiwa na akili zao timamu wamevunja amri ipi? Tulishatolewa kwenye sheria za usiguse, usile, usinywe ....sasa dhambi zetu zinaandikwa mioyoni mwetu.Kwa kuwa pombe inasabisha ULEVI na ulevi huondoa ufahamu kwa mlevi basi haifai kunywewa.Madhara ya ulevi wa pombe ni mengi na yanajulikana.HEKIMA na BUSARA haipo kabisa kwa mtu aliyelewa pombe.Zipo kampeni za kupinga ulevi wa pombe kwa jamii.
Kwa taarifa yako hata "Yesu" anatambua pombe. Nakumbuka alienda kwenye harusi, watu wakaishiwa divai, akaagiza maji yakaletwa halaf akabariki "watu wakanywa wakalewa kweli kweli,,,,! Nuhu mwenyewe aliwahi kunywa akalewa ila sikuwahi sikia kwamba" Nuhu alitenda dhambi ya kulewa",. Asante,,,
Kwanini..?Huwezi kunywa pombe bila kukupelekea kutenda dhambi. Pombe = dhambi
Mkuu sio hivyo...je soda tunayokunywa ya cocacola haina kilevi?
Je chai ya rangi?
Divai ni kinywaji kinachotokana na zabibu, ukitaka unaweza kuitumia kutengeneza pombe. Ila divai aliyotoa Yesu haikuwa fermented kuwa pombe. Umesoma wapi kwamba watu waliokunywa ile divai aliyotengeneza Yesu walilewa? Usipotoshe Biblia kwa kuongeza maneno yako. Swala la Nuhu liko wazi kabisa alitenda dhambi na kitendo kilichofanyika baada ya Nuhu kunyweshwa pombe ndicho kikuonyeshe kuwa pombe ni kitu haramu na hatari maana kila aliyekitumia hata kwenye Biblia anaonyeshwa madhara gani aliyoyapata.soma Habakuki 2:15-16. Anayekunywa pombe Biblia inamtaja kama mtu asiyetahiriwa (Mpagani/ asiyemcha Mungu)Kwa taarifa yako hata "Yesu" anitambua pombe. Nakumbuka alienda kwenye harusi, watu wakaishiwa divai, akaagiza maji yakaletwa halaf akabariki "watu wakanywa wakalewa kweli kweli,,,,! Nuhu mwenyewe aliwahi kunywa akalewa ila sikuwahi sikia kwamba" Nuhu alitenda dhambi ya kulewa",. Asante,,,
Mimi naona hapo Habakuki kuna "kulewa" hadi kuwa uchi! Sawa na kula hadi ukavimbiwa kiasi cha kupigwa bomba "enema" ili upumue( مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ )
محمد (15) Muhammad
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya mvinyo yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na magh**** kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?
Quran inasema kuna mito ya chang'aa huko peponi na inafaa kunywewa na nani?.
Huko full mipombe.
Bibles inasemaje??
Habakuki 2 : 15 - Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!
Biblia inakataa pombe kabisa rafiki
Chakula kina madhara kama cirrhosis inayosababishwa na pombe hebu kuwa realistic.Mazara ata chakura kina mazara