KKKT labariki unywaji wa Pombe

KKKT labariki unywaji wa Pombe

3c03ce85b45f82521946423a46a3933e.jpg
 
Vipi kuhusu kiroba?


Kina uhusiano na zabibu?

Haya mambo ya ulevi yana uhusiano na ile amri ya kilicho fungiwa/ kufunguliwa duniani na mbinguni kupata kibali. Na arguements za hao wa missionari walio sema divai ni haramu watakuwa walibase hapo.


Na washawasha!
 
Mkuu hicho kitabu nafikiri ni Sila. Kipo kwenye biblia ya wakatoliki, kama sijakosea.
kitafute mkuu ikiwezekana na mstari.
halafu sijakupata unaposema bibilia ya wakatoliki kwani wakatoliki wanabibilia tofauti na madhehebu mengine?
 
Mimi Ni mnywaji pombe! Ila si entertain unywaji pombe!! Pombe ni chanzo cha mafarakano,pombe ni chanzo cha magomvi! Pombe inashusha utu wa mtu hasa anapoonekana hadharani akiwa amelewa! Na ndiyo maana Biblia imeandika kuwa pombe haiwafai wafalme,maana automatically inashusha hadhi!! Pia imeandikwa Ole wake ampaye nduguye kileo!!
Kwa hiyo mkuu una maana unajishusha hadhi?
 
Unaonekana kuwa na uelewa mdogo au bifu kwa Askofu Dr. Malasusa

Kilichokataliwa katika Biblia Takatifu ni "ULEVI"

ULEVI hata wa Chakula kingi ni dhambi kabisa kama ilivyo Uzinzi, Wizi n.k

Unaweza kunionesha mstari wowote katika biblia unaokataza POMBE?
Unaongea na nani?!
 
Tusome mwanzo 9 kuanzia mstrari wa 20 mpaka ule wa 29 tuone jinsi pombe ilivyomtia aibu Nuhu na baadaye akapata hasira na kumlaani mwanae Hamu.
Kizazi cha huyo hamu kipo mpaka sasa;

20.Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;

21.akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.

22.Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

23.Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.

24.Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.

25.Akasema,Na alaaniwe Kaanani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.

26.Akasema,Na atukuzwe Bwana,Mungu wa Shemu;Na kaanani awe mtumwa wake.

27.Mungu akamnafisishe Yafethi,Na akae katika hema za Shemu; Na kaanani awe mtumwa wake.

28.Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.

29. Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia kenda na hamsini, akafa.
 
Inapotokea kiongozi anashadidia pombe ni tatizo.Hakupaswa kuzungumzia habari ya pombe.Hii ikiachwa ipite tu ataibuka kiongozi mwingine na kusema kuoa wanawake wengi haina shida na maandiko yapo kutetea hoja yake.Viongozi wa namna hii huleta utata mkubwa sana kwa jamii wanazoziongoza

Hawa maaskofu wana AKILI sana.
 
Kina uhusiano na zabibu?

Haya mambo ya ulevi yana uhusiano na ile amri ya kilicho fungiwa/ kufunguliwa duniani na mbinguni kupata kibali. Na arguements za hao wa missionari walio sema divai ni haramu watakuwa walibase hapo.


Na washawasha!
Sijawahi sikia amri kama hiyo maybe itakuwa ni amri ya mtu na sio ya Mungu aliyompa Mussa tuzitunze
 
Back
Top Bottom