Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,882
- 828,446
Tukio kama hili ni nadra sana kutokea
Wapo Watu wa watatu kila mmoja kwa umuhimu wake anataka kutumia barabara.. Sasa nani ampishe nani
Kuna king'ora cha mwanasiasa, anawahi anakojua
Kuna king'ora cha zimamoto
Kuna king'ora cha ambulance
Mwananchi hakuwahi kupata matokeo ya alichokuwa anakimbilia mwanasiasa
Fire haijawahi kuzima moto na kuokoa mali
Pengine ambulance iliwahi kumuwahisha mgonjwa na kuokoa maisha yake
Ving'ora vitatu barabarani.. Je mwananchi asilikilize kipi na aache kipi!?
Je anajua kutofautisha sauti zake hata kabla ya kuliona gari?
Fire: wiuwiuwiu: kiashiria cha hatari
Ambulance: wiiiiuuuuu... Wiiiiuuuu... Wiiiiuuuu.! Yaani ukisikiliza kwa makini ni kama kilio au majonzi
Mwanasiasa: kroo kroo. Wiu..kroo kroo wiu.. Kimejaa vitisho tupu🤣
www.facebook.com
Wapo Watu wa watatu kila mmoja kwa umuhimu wake anataka kutumia barabara.. Sasa nani ampishe nani
Kuna king'ora cha mwanasiasa, anawahi anakojua
Kuna king'ora cha zimamoto
Kuna king'ora cha ambulance
Mwananchi hakuwahi kupata matokeo ya alichokuwa anakimbilia mwanasiasa
Fire haijawahi kuzima moto na kuokoa mali
Pengine ambulance iliwahi kumuwahisha mgonjwa na kuokoa maisha yake
Ving'ora vitatu barabarani.. Je mwananchi asilikilize kipi na aache kipi!?
Je anajua kutofautisha sauti zake hata kabla ya kuliona gari?
Fire: wiuwiuwiu: kiashiria cha hatari
Ambulance: wiiiiuuuuu... Wiiiiuuuu... Wiiiiuuuu.! Yaani ukisikiliza kwa makini ni kama kilio au majonzi
Mwanasiasa: kroo kroo. Wiu..kroo kroo wiu.. Kimejaa vitisho tupu🤣
626K views · 8.6K reactions | Hapa nani anapaswa kuanza..? | Msisi
Hapa nani anapaswa kuanza..?