Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kipo Morogoro mjini karibu na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Bwagada

Member
Jul 30, 2023
31
41
Kiwanja kinauzwa Milioni 20 kwa ukubwa wa upana miguu 35 na urefu 40.,kipo kata ya meter chache kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa...,

Sio cha kuchimba na kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya familia au hata hotel.

Huduma za maji na umeme zipo karibu ya kiwanja.

Piga 0787804003 au 0715812003View attachment 2713319
IMG-20230726-WA0009.jpg
View attachment 2713320
 
Kiwanja kinauzwa Milioni 20 kwa ukubwa wa upana miguu 35 na urefu 40.,kipo kata ya meter chache kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa...,

Sio cha kuchimba na kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya familia au hata hotel.

Huduma za maji na umeme zipo karibu ya kiwanja.

Piga 0787804003 au 0715812003View attachment 2713319View attachment 2713321View attachment 2713320
Mkuu umekipima hiki kiwanja chako kwa vipimo vya meta? Kama jibu ni ndio, naomba hivyo vipimo ni ukubwa kiasi gani nataka nijue kiwanja kina square meters ngapi siwezi kukadiria kwa hatua za miguu tafadhali
 
Mkuu umekipima hiki kiwanja chako kwa vipimo vya meta? Kama jibu ni ndio, naomba hivyo vipimo ni ukubwa kiasi gani nataka nijue kiwanja kina square meters ngapi siwezi kukadiria kwa hatua za miguu tafadhali
Ok
 
Mkuu umekipima hiki kiwanja chako kwa vipimo vya meta? Kama jibu ni ndio, naomba hivyo vipimo ni ukubwa kiasi gani nataka nijue kiwanja kina square meters ngapi siwezi kukadiria kwa hatua za miguu tafadhali
Simu yangu ina changamoto kidgo ndo mana nmetuma hvyo...,kwa app niliyotumia imeonyesha vipimo hvyo
Screenshot_20230810-095608.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom