Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,941
- 6,860
msipate taabu sana:
1. Babu mlalamishi ni huyo wa MWALIMU NYERERE FOUNDATION
2. Mlalamishi mwenzie ni Dr Dr HASSY KITINE ambaye aliwahi kuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa
Hivi ndivyo inavyotakiwa. Hamna haja ya kumung'unya maneno.
Amandla.....