Kiwango cha mkopo ni kwa mwaka au miaka yote

waliopata 100% ni wacourse za uwalimu wa sayansi na mathematic pamoja wacourse za udaktar na uhuguz ,course nyingine 50%
 
Sasa hiyo ela iliyoandikwa ni ya mwaka au miaka 3? Ni ya ada tu au pamoja na accomdtn and meal?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hawapati chochote, wanahesabika kama vile hawaku apply au niseme hawana vigezo vya kukopeshwa, ila kwa wale wenye hoja zenye nguvu wanaweza ku appeal na wakafanikiwa,pia waweza kuwa hukupata mkopo kwa sababu mbalimbali may be 1)fomu za ku apply hazikufika 2)hukuambatanisha baadhi ya nyaraka,nk.pia mkifika chuoni Kama Umepata Udsm daruso hua wanasaidia kushughulikia na vyuo vingine vina taratibu zao kupitia uongozi wa wanafunzi so msife moyo hata hao waliokosa zaidi ya nusu wanaweza kufanikiwa baadae.
<br />
<br /
sasa mpendwa ina maana hata boom hakuna??? And nivp sasa manake serikali za wanafunzi chuoni hazipo hao 2liokosa nan atatusaidia
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
sasa mpendwa ina maana hata boom hakuna??? And nivp sasa manake serikali za wanafunzi chuoni hazipo hao 2liokosa nan atatusaidia
<br />
<br />
ndugu huonji hata cent unakua ni full private mi nadhani kila chuo kina leadership ya students mi nilisoma udsm daruso hua wanasaidia sana watu pia kuna jamaa anaitwa Bush pale office no.105 UTAWALA za udsm anayehusiana ya mikopo tuu, kwa udsm kama una vigezo ni rahisi kupata but kama upo mbali na dar ni mlolongo mrefu.
 
Kidogo mkuu (GHANI) umenipa matumaini kwasababu hii ni mara ya tatu kwangu tangu nianze kuomba na kudahiliwa vyuoni kwani mwaka 2006/7 nilipata Udahili IFM information Tech. Nikakosa mkopo ckwenda chuo, 2009/10 nilipata KIU HRM baada ya kukaa miaka miwili ckupata mkopo ckwenda na tena mwaka huu nimepata UDSM B.OF COM IN HRM hakuna mkopo nashindwa kuelewa inakuaje ninanyimwa mkopo ikiwa cfa wazitakazo ninazo f4 div II, F6 div I na kwa takribani miaka 5 cjakwenda chuo kwa kukosa fedha hii imekaaje? Ila naelekea kufarijika kutokana na post ya mkuu G.
 
wakuu heb mweny info za kutosha atuweke bayana juu ya hz fedha,je wametoa kwa mwaka mzima au kwa semista?maana naona hali ni tete sn.na km itakuwa kwa mwaka mzm je ni pamoja na twishen fee au hz mfuko wake mwengne?
 
nimecheki na kiasi nilichoona ndio kinachotatiza cause nimepewa 3847500/ ambacho ni kikubwa sana kwa mwaka (kozi yangu ina gharimu 1,300,000/=) + boom 180000/= kwa mwaka) na kama ni kwa miaka yote wana uhakika gani na perfomance yangu kama nitamaliza.

hebu rudia kufanya hesabu maana figa ya boom kwa mwaka umekosea, siyo 180,000. bali ni 1,800,000
pamoja na hayo bado utata upo.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ndugu huonji hata cent unakua ni full private mi nadhani kila chuo kina leadership ya students mi nilisoma udsm daruso hua wanasaidia sana watu pia kuna jamaa anaitwa Bush pale office no.105 UTAWALA za udsm anayehusiana ya mikopo tuu, kwa udsm kama una vigezo ni rahisi kupata but kama upo mbali na dar ni mlolongo mrefu.
<br />
<br />
nilisoma sua, kuna dada mmoja anafatlia mikopo. Huwa wapo serious sana.
 
Habari wana jf ninatatizwa na kiwango cha fedha kilichotolewa na bodi kuna watu hyo fedha inazidi gharama ya koz kwa miaka yote mitatu e.g jamaa yangu kapewa 3,147,500 na gharama ya koz/mwaka (LL.B) ni 950,000 je hv viwango wamejumulisha na mahtaji mengne kama meal allowance etc.
<br />
<br />
sijakupata. Ina maana tayari mmeshawekewa hela?. Sikuelew kabisa.
 
Fanya 8000 (meal&amp;acc) * siku 240 (2sms) mwaka1 ,inayoongezeka hapo ndo ada ya masomo yako kwa mwaka hapo chuoni...right??
<br />
<br />
sio 8000 ni 7500 soma hotuba ya bajeti ya Wizara ya Elimu.
 
Back
Top Bottom