Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 4,114
- 7,104
Kidato cha nneMwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Kidato cha nneMwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Kufaulu mitihani ya Form Four wala hakuhitaji Akili, kinahitaji uwezo mkubwa wa Kukariri.Zamani kiufaulu form 4 kulikuwa kugumu,mpaka uwe na akili kweli kweli
Kada huyoHivi hajapitiwa na JAB?
Kusikojulikana vipi wakati mafunzo yanatolewa Kunduchi, kikuyu mlimani msalato nk.
Mbona sehemu zinajulikana unasemaje hazijulikani!!
Kuzifahamu kambi sio kujua siri zilizomo ndani ya kambi.Duh...hii nchi Haina Siri kumbe. Yaani Kambi za UT hata mwananchi wa kawaida anazifahamu.