Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Tulia wewe mlima mihogo na mvuvi wa kamongoShida nini?
Tulia wewe mlima mihogo na mvuvi wa kamongoShida nini?
Kufa kufaana mkuuKwahiyo Muhimbili sio mtoa huduma tena ameingia kwenye biashara ya viwanda
Nenda muhimbili pale getini watakuelekeza kiwanda kilipo, ni rahisi tu!Hicho kiwanda kinaitwaje na kiko wapi?
🤩Tulia wewe mlima mihogo na mvuvi wa kamongo
Ulishaaambiwa kuwa mlime sana mazao mengi maana mataifa ya nje wapo lockdown hivyo mtawauzia mazao yenu.Nitashangaa sana kama viongozi wa serikali yetu wanaojinasibu kwa uzalendo kila siku watakuwa wanahusika na hiyo biashara, muhimu tuambiwe ni nani mmiliki wa hicho kiwanda, sio kila siku tunalazimishwa kuamini barakoa toka nje zina matatizo ya kiafya wakati ni wao ndio walioruhusu ziingie.
Sikutegemea kama kuna watu watawaza biashara katikati ya hali hii tuliyonayo.
Jamani, kujua kiwanda kipo wapi mpaka uwaelekeze?Nenda muhimbili pale getini watakuelekeza kiwanda kilipo, ni rahisi tu!
jibu hoja wewe ?Madhara ya kutumia makalio kufikiri
Hutaki we kenge?Ulishaaambiwa kuwa mlime sana mazao mengi maana mataifa ya nje wapo lockdown hivyo mtawauzia mazao yenu.
Ni Bupiji au Bupeji naomba kumfahamu mgunduzi na mtengenezaji mzalendo.Nchi hii kwa sasa ni kuchangamkia fursa
Hata wewe jibu tu, wewe ni kiongozi wetu unajua mengiKuna namba za simu hapo, wapigie then uliza maswali yako.
Lakini huo ndio uzalendo wa kitanzaniaNchi hii kwa sasa ni kuchangamkia fursa
Kushona barakoa za kuuza nchi nzima kwa zile cherehani za kushonea ma ovaroli ya usafi haiwezekani , tafuta uongo mwingineNenda muhimbili pale getini watakuelekeza kiwanda kilipo, ni rahisi tu!
Sasa hizi si kwa matumizi yao wanauza nchi nzimaSio Barakoa tu wanatengeneza hadi PPE.
Kwa wasiofahamu hizi Hospital kubwa kuna vitu vingi watengeneza hasa consumables kwa ajili ya matumizi yao
Bro kwani kutoa huduma sio biashara?Kwahiyo Muhimbili sio mtoa huduma tena ameingia kwenye biashara ya viwanda
Wewe muuza bajia Tandika mwembe yanga unajua?unayafahamu matumizi ya pamba na eusol kwenye hospitali za umma ?
Kwahiyo Muhimbili sio mtoa huduma tena ameingia kwenye biashara ya viwanda