Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,658
- 218,147
- Thread starter
- #101
Jibu swali kwanza mkuuAchana na mawazo ya kilofa mkuu. Kujiona huwezi kwa kila jambo ni mwanzo wa kukaribisha umaskini wa kudumu.
Jibu swali kwanza mkuuAchana na mawazo ya kilofa mkuu. Kujiona huwezi kwa kila jambo ni mwanzo wa kukaribisha umaskini wa kudumu.
Kiko wapi hicho kiwanda ?Nchi kujitengenezea bidhaa zake yenyewe na hasa hizi zinazohusiana na usalama na ulinzi wa nchi halijawahi kuwa tatizo, we kama ni mzalendo tafuta pesa kanunue hisa kwenye hicho kiwanda
huna hoja ya msingi kakojoe ukalaleHizi nyuzi tunazozileta humu haziletwi kwa bahati mbaya
Kwi Kwi Kwihuna hoja ya msingi kakojoe ukalale
Ukute mradi wa mtu fulan hivCha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda, lakini eti barakoa wanatengeneza!
Hii ndio point yangu hasa !Ukute mradi wa mtu fulan hiv
Hivi bado huu mradi unaendelea ?Ukute mradi wa mtu fulan hiv