Kiwanda kinachotengeneza Barakoa zinauzwa Muhimbili kiko wapi na kinamilikiwa na nani?

Nchi kujitengenezea bidhaa zake yenyewe na hasa hizi zinazohusiana na usalama na ulinzi wa nchi halijawahi kuwa tatizo, we kama ni mzalendo tafuta pesa kanunue hisa kwenye hicho kiwanda
 
Back
Top Bottom