Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Cha kushangaza hawajawahi kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda , lakini eti barakoa wanatengeneza !
Kwakweli hawajawahi kuwa na kiwanda cha kutengeneza pamba wala mashuka ... ninachfahamu huwa wana kajikarakana ka kutengeneza viungo bandia