Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
-
- #61
HahahahhahaSudi alizidisha masihara na wakuu eti mtu unakuja na staili unajiita Shilawadu news[emoji23] haki ya nani wakuu hawaez kukuacha
Hao wakina shgongo na idris kwakwel cjajuaHahahahhaha
Na mimi naeandika mapenzi je wananifungia?
Mbona shigongo hawamkamati? !
Mbona Idris Sultan hawajamfungia?!
Kumbe mapenzi ni upotevu sio burudaniHao wakina shgongo na idris kwakwel cjajua
Ww wa mapenz utapigwa Ban kwa kupotosha jamii kuendekeza starehe badala ya kufuata agizo la mkuu la kuchapa kazi...Over"
Twende huko TCRA kama vpKodi nalipa ila hiyo TCRA SIJAENDA KABISA
jaman sudi brown nae kakamatwa kwanini
Mbona shigongo hawamkamati? !
Sipo Tz mpaka 2019 DisembaTwende huko TCRA kama vp
Sasa una wasiwasi gani ilhali hakuna wa kukukamata?Sipo Tz mpaka 2019 Disemba
Kifupi wakikumata fineKwanzaa wanamfungiaje mtu YouTube labda ndio nataka kujua
Hivi mtu Kama shafii anakosa mtu wa kuinvest mil 10 walipie vibali vyote wagawane hisaHuku Tz au?!
Hayo yote watu wamefanya na bado wamekamatwa
Sema sera za jiwe zinajicontradict zenyewe tu , leo anasema 'watanzania chapeni kazi' , kesho anasema 'watanzania fyatueni tu' sasa tunashindwa tushike lipi tuache lipi!Hao wakina shgongo na idris kwakwel cjajua
Ww wa mapenz utapigwa Ban kwa kupotosha jamii kuendekeza starehe badala ya kufuata agizo la mkuu la kuchapa kazi...Over"
nilistop ku uplod video baada ya kuambiwa mambo ya dola 900Ushafungiwa?!
Mkuu bado mengi yatajir unaeza skia kama hujaoa usikae bar au huna ajira unatakiwa kwenda jela ukachape kaz kweny mashambaSema sera za jiwe zinajicontradict zenyewe tu , leo anasema 'watanzania chapeni kazi' , kesho anasema 'watanzania fyatueni tu' sasa tunashindwa tushike lipi tuache lipi!
uuuwi mimi sijastop mbona we endelea piga kazi upate viewers uweze kulipwa ukawalipe!nilistop ku uplod video baada ya kuambiwa mambo ya dola 900
wanakamata channel na websiteSasa una wasiwasi gani ilhali hakuna wa kukukamata?
fine ya bei ganKifupi wakikumata fine
huyo shafii hela anayolipwa na YOUTUBE mwenzake Millard Ayo atasubiria miaka 100Hivi mtu Kama shafii anakosa mtu wa kuinvest mil 10 walipie vibali vyote wagawane hisa
TUFYATUE nini tena?Sema sera za jiwe zinajicontradict zenyewe tu , leo anasema 'watanzania chapeni kazi' , kesho anasema 'watanzania fyatueni tu' sasa tunashindwa tushike lipi tuache lipi!
uuuwi ode!Mkuu bado mengi yatajir unaeza skia kama hujaoa usikae bar au huna ajira unatakiwa kwenda jela ukachape kaz kweny mashamba
Ode ma...kwifonisha ma?uuuwi ode!
me siendi jela asee kiru\me mama wa nyumbani
aaaah leo,malapa nivulie wapi hapahapa njee au ni ingie nayo hadi huko ndani pmNjoo pm ntakutumia
Wanamkata mmiliki au channel?wanakamata channel na website