Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #21
Hahahaha hatareeLabda wanaangalia location ya channel owner, may be sijui lakin
Hahahaha hatareeLabda wanaangalia location ya channel owner, may be sijui lakin
Mmmh sio kweli
HatareeTotalitarian.
ukipata majibu unitag plz Money PennyNataka kujua watanifungiaje YouTube me sijaifungulia Africa?!
Wanataka ukatoe milioni 2 za madafu wakaseme mapato yameongezeka mkuuNataka kujua watanifungiaje YouTube me sijaifungulia Africa?!
Hawakufungii as per say, ila km uko tz wanakukamata km walivyomfanyia Shafii Dauda, afu wanakupeleka selo unasota paleeeee ukitoka uko hoiii unawapa tuu, ila km uko lets say south africa unapost fresh tuu. Km huko hamna sheria km hii unapost tani yakoKwanzaa wanamfungiaje mtu YouTube labda ndio nataka kujua
Vitafungiwa vingi zaidi... Ni swala la muda tuuWatanzania bado tungali tunaendelea kupata tabu sana!
Nahama Nchi wallahiHoney Money Penny
Maudhui ya kazi yako ni 18+. Hivyo hata ukikusudia kusajili YouTube Channel hapa TZ yawezekana usifuzu vigezo.
Binafsi sio mtaalamu wa IT, ninachojua kidogo kuhusu umiliki wa media channel kuna standard guidelines za Ulaya/Marekani ambazo lazima u-comply hasa suala la consent, privacy na anonymity. Nadhani pia kuna miongozo specific kuhusiana na maudhui yenye explicit SNV kama maandiko yako.
Well, watu wa IT na Law wanaweza kukushauri vizuri namna sahihi ya kuendelea kurusha habari zako kupitia YouTube na kwingineko. Maana wewe ndio habari yenyewe Honey Money Penny. Sasa channels zikizuiwa maana yake wewe umezuiwa (umefungwa) jela ya nje.
To your writing success!