Kiwanda Changu Cha Mapenzi Kinafungiwa!

Kiwanda Changu Cha Mapenzi Kinafungiwa!

Ukijifanya mbishi utalala korokoroni...tii sheria bila shuruti,zile zama sio hizi bibiee...
Hahaha haha uuuuwi baadae sana
Sina Mil 2 Kwanzaa mil 2 naitafuta sijaipata mpaka Leo
Nikiipata nitajisalimisha kwa pilato
 
Jaribu kufanya 'cost & benefits analysis' kama haikupi hasara lipa kodi,na kama inakupa hasara buni biashara nyingine;kawaida si vizuri kubishana na mfumo kwani mwisho wa siku ni wewe na biashara yako itaumia;na mfumo unabadilika,kesho
unaweza kuwa wewe au yeyote yule.
Ngoja niendelee kubaki London nikipata mil 2 nitakuja Tz
 
Online content Regulations ni ubatili mtupu.

Kama walikuwa wana nia ya kumlinda Rais Magufuli ni afadhali wangetumia mbinu nyingine sio hii.

Inaua ajira na ubunifu.

Kuna hivi vijamaa vingine vinajiita basata!! Ni kama tumerudi enzi za ujima.
Akyanani
me natengeneza movie wallah siendi basata nitakuja narusha YouTube na kwenye website yangu tu mpaka niipate mil 2
 
Tafuta patner tatizo la waswahili unanataka umiliki 100 per mfate mwenye mzigo mnafungua company mnagawana hisa wewe unakuja na ubongo yeye hela mnaweka kaofisi anakupa na kakijana ka it kazuri kucheza na mavideo clip,there you go
Huku Tz au?!
Hayo yote watu wamefanya na bado wamekamatwa
 
Wanataka ukatoe milioni 2 za madafu wakaseme mapato yameongezeka mkuu
Hahahahaha
iyo mil 2 sijaitengeneza tangu nimefungua YouTube nailipaje sa? !

Hawakufungii as per say, ila km uko tz wanakukamata km walivyomfanyia Shafii Dauda, afu wanakupeleka selo unasota paleeeee ukitoka uko hoiii unawapa tuu, ila km uko lets say south africa unapost fresh tuu. Km huko hamna sheria km hii unapost tani yako
Maskini nimeskia wamekamatwa shafii ah jaman kwanini yeye si anapost mpira? !
 
Nadhani ungeenda TCRA pale utapata mbadala wa swali lako. Hapa tutakuchanganya kwakuwa unataka jibu na hakuna mtaalam wa kukupa ushauri kama sio jibu. Samahani kama nitakuwa nimekosea.
Hujakosea
woi nikienda TCRA nitakuwa nimejisalimisha kwa pilato ngoja niangalie upepo Kwanzaa

jaman sudi brown nae kakamatwa kwanini
Mbona shigongo hawamkamati? !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom