kiwanda cha General Tyre kufunguliwa mda wowote kuanzia ivi sasa.Leo wajerumani wamekabizi shares 25% kwa serikali ivyo 100% GT iko kwa serikaliAmbapo barozi Ombeni Sefue alishuhudia ilo tukio leo.Katibu wa wizara ya viwanda na biashara anasema mda wowote wanaweza fanya trial run wanamalizia kurekebisha mifumo ya umeme malighafi zipo za kutosha
Source:Channel Ten habari leo
Lakini si umeelewa auNajua kiingereza si lugha yako, lakini hata kiswahili yakhe?
Acheni usanii nyie #Teamdodoki .
lowassa alishutumiwa kuhusika na kufa kwa kiwanda hiki.lema aliitumia gia ya kukirudisha kiwanda hiki kwa serikali wakati anagombea mwaka 2010.
Juzi lowassa alisema ataliongekea suala hiki la General tyre kampeni zikianaza.niliweka thread kuhusu kauli hii lakini mods waliiemerge!
Mmiliki aliyekiua ni El according to Lema.
#hapakazitu
soma comments zangu kwenye thread hii hapa....
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/907518-updates-kutoka-arusha-mkutano-wa-kumtambulisha-mgombea-urais-kwa-tiketi-ya-chadema-67.html#post13646662
Moderator msiwe mnaunganisha threads bila taarifa!
Leo kwenye taarifa ya habari ya Channel 10, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Seif ametangaza kwamba serikali itakifufua kiwanda cha General Tyre cha Arusha mapema iwezekanavyo. Tunajua kwamba Mh Lowasa alipoenda kutafuta wadhamini Mkoani Arusha alitangaza vipau mbele vyake kimoja wapo ni kukifufua kiwanda cha matairi kilichokufa kwa muda mrefu, Arusha General Tyre. Sasa naona serikali ya ccm imeamka na kusema kwamba watakifufua kiwanda hichi. Sasa Namwomba Mh Lowasa aendelee kutoa vipau mbele vyake kwenye kila mkoa, serikali inamsikiliza sana na wanajua anachosema ni kweli atafanya, sasa wanaamua kuamka. Bravoo Lowasa, na serikali pia kwa kumsikiliza mzee wa maamuzi
Najua kiingereza si lugha yako, lakini hata kiswahili yakhe?
Kuna mambo mengine madogo madogo hayaitaji ilani mkuu, hata JK kuna mambo makubwa alifanya hayukuwepo kwenye ilani ya ccm! Mfn Chuo Kikuu cha UDOM