Kivuko cha mto Kilombero na ahadi za serikali

Rais Kikwete aliahidi hili kwenye kampeni yake kabla ya uchaguzi. Akifanikisha hili urais ni wake tu hakuna wa kumpiku. Daraja hili ni muhimu kwa maendelieo ya Ulanga Mahenge N.K. Bravo nasi tutafatilia
 
Mwananchi wa kawaida akisikia na au kusoma anapagawa kabisa, hajui tofauti ya ujenzi na usanifu kwake vyote ni sawa ni kama kaliona daraja. Usisahau kuwa kuna uchaguzi wa serikali za mitaa Oktoba 2009 ambao wenzetu wameushupalia kwelikweli,huu ni mtaji kwao.
Ngambo,
Uko sawa kabisa. Ila nina imani mwakani kwa mara ya kwanza, sehemu nyingi Tanzania watu watakula na WABUNGE pamoja Rais sahani moja kwa AHADI hewa za mwaka 2005. Ila kuwauliza hawa WAONGO kwa mara ya kwanza itakuwa ni HATUA moja kubwa sana. Wengi wao kwa sasa wanaanza kuhaha maana walikuwa wanaahidi utafikiri wanatoa ahadi kwa vikongwe ambavyo miaka 5 ijayo vitakuwa vimezeeka zaidi. Huwezi toa ahadi hizo hata kwa watoto maana miaka 5 ijayo vitakuwa vimekuwa a VINAKUMBUKA. Na vitoto vya siku hizi VITAKUUMBUA kabisaa kuwa "MFALME yuko uchi" wakati wazee wakisema "kavaa vasi lisiloonekana".
 
Itakuwa faraja kubwa kwa wananchi wa kutoka kilombero kuepuka hadha ya vivuko vilivyokuwa vinahatarisha maisha yao.

Hongera Serikali kuliona hilo na kujenga daraja.
 
Itakuwa faraja kubwa kwa wananchi wa kutoka kilombero kuepuka hadha ya vivuko vilivyokuwa vinahatarisha maisha yao.

Hongera Serikali kuliona hilo na kujenga daraja.

Huhitaji kutoa hongera kwani hiyo ni haki yaatu wote wa ulanga.

Mnatakiwa kuuliza pamoja na ressources zote kwa nini siku zote hakujawa na daraja.
 
Huhitaji kutoa hongera kwani hiyo ni haki yaatu wote wa ulanga.

Mnatakiwa kuuliza pamoja na ressources zote kwa nini siku zote hakujawa na daraja.

hii sasa unawakuwa too negative!!!dunia inakwenda mbele,ni sawa na kumwuliza mzazi wako mbona uli-mature siku nyingi kwa nini hukunizaa!!!tuombe mungu lijengwe na sie akina bambo tupate njia ya mkato.
 
hii sasa unawakuwa too negative!!!dunia inakwenda mbele,ni sawa na kumwuliza mzazi wako mbona uli-mature siku nyingi kwa nini hukunizaa!!!tuombe mungu lijengwe na sie akina bambo tupate njia ya mkato.

On the contrary its being positive. Sidhani kama nchi imeshindwa kujenga daraja mto kilombero kwa muda wote huo, wameweza kufanya vitu vingi visivyo na msingi kwa nini waache kujenga daraja?

Mfano wako hauko relevant sana na issue yetu huwezi kumuuliza swali hilo mzazi wako kwani wakati anamature hukuwepo, lakini kwa hili wanachi wa sehemu hiyo walikuwepo na walicontribute kwenye kuingiza resources za nchi. Wanahaki ya kutaka resouces hizo zitumike kwao
 
Ni uzembe na rushwa tu, mbona wananpoteza pesa nyingi kwenye kampeni?? kwa nini wasikusanye pesa hizo za EPA wakajenga daraja??
 
Back
Top Bottom