Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Nimeshuhudia ndoa nne za gharama (nilizochanga Mimi) ndani ya miezi 6_9, tatu kati ya hizo zikipumulia Mashine Huku moja iliyodumu kwa Mwezi mmoja (siku ya harusi kamati ilimpa zawadi ya million 10 Bwanaharusi) ikisambaratika huku bibi harusi akitolewa mkuku au vijana wa mjini wakisema ametolewa baruti vibaya mno.
Hivi unadhani hawa wapenzi walikua hawapendani kabla ya kufunga ndoa? Kuna kitu jamaa mmoja humu alishakisema kinaitwa "red light" Taa nyekundu. kwenye uchumba Kuna tabia ambazo Mwanaume/Mwanamke anakua nazo ambazo hawezi kubadilika yaani ndio hatobadilika hata ufanyaje, mfano kama mchumba wako anapenda kuongea ongea na wanaume/ wanawake hata ukimuoa hatoacha, kama akiwa charming saana hatoacha hata ukimuoa, kama alikua ni penda penda hatoacha atatulia tu kwa muda akipata nafasi atacheat tu.
Ukitaka kukaa na Mwanamke/ Mwanaume wako kwa miaka angalau mitano Hadi kumi basi huna budi kujifanya fala na uache mengine yapite, Lakini sio kwa uasherati maana kwenye uasherati hakuna msamaha.
Nimezungumzia kua kondoo maana wanawake/ wanaume wengine ndio walivyo hutoweza kumbadilisha tabia yake hata ufanyeje utajikuta kila siku unaingia kwenye migogoro na kero, tujifunze kupuuzia na kukaa kimya.
Usipokua strong utajikuta unaoa na kufukuza maana ndivyo walivyo, unaoa Mwanamke ambae ametoka chuo unadhani huko alikua amelala na kusoma tu? Wengine wameshakutana na RPG machine gun ambazo hawawezi kuzisahau ukimuoa kama hana akili siku akikutana na EX wake atapigwa tu.
NB: MATHAYO 19:9. Nani nawaambiya ninyi, Kila mtu atakayemuacha mkewe, isipokua kwa sababu ya uasherati akaoa Mwingine azini. (Sababu pekee ya kumuacha Mwanamke ni uasherati).
Hivi unadhani hawa wapenzi walikua hawapendani kabla ya kufunga ndoa? Kuna kitu jamaa mmoja humu alishakisema kinaitwa "red light" Taa nyekundu. kwenye uchumba Kuna tabia ambazo Mwanaume/Mwanamke anakua nazo ambazo hawezi kubadilika yaani ndio hatobadilika hata ufanyaje, mfano kama mchumba wako anapenda kuongea ongea na wanaume/ wanawake hata ukimuoa hatoacha, kama akiwa charming saana hatoacha hata ukimuoa, kama alikua ni penda penda hatoacha atatulia tu kwa muda akipata nafasi atacheat tu.
Ukitaka kukaa na Mwanamke/ Mwanaume wako kwa miaka angalau mitano Hadi kumi basi huna budi kujifanya fala na uache mengine yapite, Lakini sio kwa uasherati maana kwenye uasherati hakuna msamaha.
Nimezungumzia kua kondoo maana wanawake/ wanaume wengine ndio walivyo hutoweza kumbadilisha tabia yake hata ufanyeje utajikuta kila siku unaingia kwenye migogoro na kero, tujifunze kupuuzia na kukaa kimya.
Usipokua strong utajikuta unaoa na kufukuza maana ndivyo walivyo, unaoa Mwanamke ambae ametoka chuo unadhani huko alikua amelala na kusoma tu? Wengine wameshakutana na RPG machine gun ambazo hawawezi kuzisahau ukimuoa kama hana akili siku akikutana na EX wake atapigwa tu.
NB: MATHAYO 19:9. Nani nawaambiya ninyi, Kila mtu atakayemuacha mkewe, isipokua kwa sababu ya uasherati akaoa Mwingine azini. (Sababu pekee ya kumuacha Mwanamke ni uasherati).