Kiukweli kuna baadhi ya watu mavazi fulani au sare fulani zinawapendeza na wanatokelezea. Shuhudia wanavyopendeza!

Mkuu Babati , kiukweli kuna michango mingine inakugusa hadi inakuumiza kwasababu ina ukweli mkubwa ambao unauma hivyo unaumia ila ndio ukweli wenyewe.

Human beings are not static, they are dynamic and hence, they changes with time, as days go by, the young and energetic people changes into old age and always try to fit and live in a certain lifestyle, while life also changes, with time, and place, hivyo if you can't change and adapt to the changing environment, then you just perish.

Naomba ni reserves mwingine ila kiukweli nimeguswa na jinsi nilivyo kuwa highly regarded humu jf na jinsi sasa ninavyo dharauliwa humu, hivyo na mimi nimebaini jf ina vilaza wengi kuliko tunavyotegemea, wao wanaona hili ni bandiko la mavazi tuu, hadi kuliita "utumbo".

Najitafakari
P
Mdogo wangu Paskali
Ninaamini kuwa kila mtu ana kitu anachokipenda.
Wewe umeonesha kupenda sana kusifia viongozi hata kwenye mambo yasiyofaa,yanayoumiza taifa bila kujali watu wanakutazamaje na kukutafsiri.

Kwenye issue nyeti kabisa,wewe hushabikia mambo ya kipuuzi kabisa.
Ulikuwa shabiki mkubwa wa mwendazake,makonda,wakati wakiumiza watu,Leo hii umebaki peke yako na mdomo wazi.

Mdogo wangu husimami kwenye hali wala hujasimama kutetea wanyonge.
Hii inapelekea watu kukuona unatafuta uteuzi.


Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani tunaongelea hoja ya umuhimu wa miradi kwa taifa? Nilidhani hoja yako ni kuwa miradi ya awamu ya tano yote ni ya JK.

Ila upo sawa Chato airpot kwa sasa sioni umuhimu wake. Naona ni hasara.
Katika miradi inayotuumiza watanzania ilifanywa viongozi hata ni

1. Mzee nyerere kutuvika kongwa la upumbavu na woga.
Sasa watawala wanatufanya watakavyo na hatuwezi kukabiliana nao.

2. Kikwete na ccm yake, kutuulia mchakato wetu wa katiba mpya.
Sasa watawala wanatutesa na kutuua.
Haki zetu zote tunazipata kwa kulamba miguu ya maccm,tiss na polisi.
MUNGU AWAANGALIE KWA JICHO LA UPENDO



Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Katika miradi inayotuumiza watanzania ilifanywa viongozi hata ni

1. Mzee nyerere kutuvika kongwa la upumbavu na woga.
Sasa watawala wanatufanya watakavyo na hatuwezi kukabiliana nao.

2. Kikwete na ccm yake, kutuulia mchakato wetu wa katiba mpya.
Sasa watawala wanatutesa na kutuua.
Haki zetu zote tunazipata kwa kulamba miguu ya maccm,tiss na polisi.
MUNGU AWAANGALIE KWA JICHO LA UPENDO



Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Tatizo ni hapo juu tu. WOGA. Hayo mengine yoote ni matokeo ya WOGA.
 
Rest in peace mkuu Pascal Mayalla. Lakini pia niwashukuru wadau wote kwenye hili jukwaa la siasa. Tumekuwa wote kwa muda sasa! Tumepandishana munkari na kupoozana! Tumekosoana kwa kejeli na pia kwa staha!

Kwa kufikisha message 10000 tu humu jukwaani, na nyingi zikiwa ni za masuala ya siasa na michezo, ni wakati wangu sasa na mimi kupumzika kwenye hili jukwaa.

Ukiona watu kama Pascal Mayalla wamekuwa baridi! Mimi ni nani hata niwe wa moto? From today onward, nitakuwa ni msomaji tu na mpita njia. Sitarajii kumsifia/kumkosoa yeyote yule! zaidi tu ya ku react kimya kimya positively/negatively!
Tukutane kule kwenye jukwaa la kutafuta wachumba! Kula kimasihara, nk. Maana hakuna namna.
Umeandika kitu hadim sana wenye afahamu tumekuelewa

Pic%20Layer_2021111311215721.jpg
 
Mkuu bora umekiri kuwa siku hizi huna hoja za maana umepoteza mvuto, Mkapa na JK waliwahi kufanya haya maigizo? ni mambo ya hovyo ndiyo maana Sabaya alianza kuvaa nguo za polisi kwenye kampeni za CCM
Mkapa nilimuona aidha 1996-1998, katikati hapo kuna picha alipiga katinga Baka baka...
 
Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding

Bandiko hili is not for average mind, ni bandiko la ma GT. Ukisoma ukaona nazungumzia mavazi tuu, hiyo ndio level yako ya uelewa, nakushauri don't comment, jipitie tuu uendelee na threads nyingine za size yako, hii itakuwa imekuzidi kimo!.

Pia naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
Unafiki tu utakuua

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Dah..

Sasa Kwa sie tunaochaguliwa mavazi ya kuvaa na magelo friend wetu inakuwaje? Mtapima mood zetu Kwa mavazi tuliyovalishwa na kuchaguliwa nao au mtapima mood zetu Kwa namna gani?

Ila yote Kwa yote naunga mkono hoja.
 
Aisee nimecheka sana yaani sana, kwanza UZI wenyewe na wachangiaji.

Pasko watu washavurugwa saivi, mimi nilikuelewa sana, yaani sana na umeeleweka zaidi ulipomuweka Kenyatta maana amekaa kama muoga na asiye na uhakika na alichovaa(siyo mjeshi by nature), lakini kwa Samia kweli umeona alivyo kwa vile ni mjeda by nature? Ahahahahahhaha hakyamungu!

Yaani ngoja niendelee kucheka kwanza ntarejea ahahahah
 
Wanabodi,

Angalizo la uchangiaji: Kuna watu humu wana vijiba vya roho, akitokea mtu akapendeza wao wanakereka au akisifiwa wao wanakereka na kukasirika. Kama wewe ni mmoja wa kundi hili, nakuomba ushia hapa ili huko mbele usikereke.

Kufuatia mimi mwana jf mwenzenu umri wangu umesonga songa, nimefikia level ya kustaafu, hivyo nakuwa sina tena zile mada moto moto au maswali magumu magumu kama enzi zile kijana nikiendesha kipindi cha Kiti Moto.

Kufuatia neno "ukubwa dawa", mimi sasa ni mtu mzima hivyo napandisha mabandiko ya dawa kama bandiko hili.

Declaration of Understanding
Bandiko hili is not for average mind, ni bandiko la ma GT. Ukisoma ukaona nazungumzia mavazi tuu, hiyo ndio level yako ya uelewa, nakushauri don't comment, jipitie tuu uendelee na threads nyingine za size yako, hii itakuwa imekuzidi kimo!.

Pia naomba kukiri, naaandikia kwa members wenye uwezo tofauti tofauti wa uelewa, hivyo ukikutana na bandiko langu ukajiona kama huelewi elewi, nakushauri jipitie zako tuu uendelee na safari yako, maana mabandiko mengine, nawaandikia watoto wa chekechea, wewe wa Ph.D utaishia chaka.

Leo naomba kutoa somo kuhusu mavazi fulani fulani, jee wajua mavazi yanazungumza?. Jee wajua dress code ni kiashiria cha the state of mind ya mvaaji na action anayoweza kufanya?.


Mfano mtu akikukaribisha kwake ukaenda the way utakavyomkuta amevaa utajua amekuitia nini na ni nini kitafuatia.

Wenzetu wazungu wana dress code kabisa ya matukio mbalimbali, kwa matukio serious wana vaa formal dress, yaani kuiambia, na kwa matukio ya kawaida, wanavaa kawaida, yaani casual but smart, sisi wabongo hatuna any specific dress code kwa matukio serious na yale ya kawaida.

Pia aina ya mavazi ni kwa maeneo au matukio fulani, mfano ukienda beach, unavaa beach wear, ukienda church unavaa vazi la heshima na ukitoka out kama ni first date out, usually wadada they dress to kill!.

Leo nimemuona Mama kavaa Combat, kwa jinsi hiyo combat ilivyo mkaa, imemtoa kweli kweli na kumpendezea, hivyo Mama ametokelezea.

Kwa sisi wenye jicho la tatu, hiyo combat ya mama inaongea, only wenye jicho la tatu ndio wanaona, na wenye sikio la tatu ndio wanaweza kusikia hiyo dress code inaongea nini.
View attachment 2011474
Kwa vile macho hayafanani, na kwa vile hakuna taarifa zozote za mama kuwa mjeshi kabla, hivyo wale wenye macho ya kawaida tuu, wakiona hii picha ya amevaa combat, wao wanaona ni mtu tuu wa kawaida yule yule Mama Samia waliyemzoe ila tuu leo amebadilika kwa kuvaa sare za jeshi, lakini sisi wenye jicho la tatu, hatuoni sare tuu tunamuona mtu ambaye ni mjeshi kweli kabisa, ndani ya sare yake, ila kabla ya kuvaa sare za jeshi, hatukumjua, kuwa ni mjeshi mpaka alipovaa sare ya jeshi, kwa jinsi zilivyo mkaa, ndipo macho yetu yamefunguka, kuona na kubaini kumbe ni mjeshi kabisa!.

Zingatia tofauti kati ya mtu asiye mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi na mtu mjeshi by nature na kuvaa sare za jeshi. Asiye mjeshi by nature,
View attachment 2011725
kama huyu, akivaa sare za jeshi anakuwa amevaa tuu sare,
Lakini mtu mjeshi by nature, hata kama sio mwanajeshi, akivaa sare za jeshi, anakuwa ni mwake mwake!, huyu ni jeshi kama huyu
View attachment 2011739

Hata huyu Mzee wetu
3001226_nYERERE_COMBAT.jpeg

Mwalimu Nyerere, alikuwa mjeshi.
View attachment 2011753
Naomba kutoa onyo kwa wale wenzangu na mimi waliozoea, rais ikitokea upande ule, wa ma ustaadhi, basi wanajiachia na kupanga kufanya au kuleta ile michezo michezo yao!. Kama hata baada ya kusoma hapa na kumjua ni mjeshi na kama wanaweza kumletea mchezomchezo mjeshi...endeleeni ila msilalamike kuwa hamkujua, au hamkuambiwa, mlidhani ni sare tuu za jeshi! hii ni taarifa kwenu kuwa sio sare tuu!, msithubutu, na mkithubutu, shauri yenu!. Mimi mwenzenu Paskali Mayalla, japo wengi humu mnanifahamu kama mwandishi tuu wa habari wa kujitegemea, wengi humu wasicho kijua kuhusu mimi, kabla ya uandishi wa habari nilikuwa mjeda from JKT straight to JWTZ!. Chezea vitu vingine vyote ila geshi, usichezee kabisa!. Chezea watu wengine wote, ila Wajeda usichezee kabisa. Kazi ya jeshi ni moja tuu... "zikimkosa mbili...utaandika maelezo"!.

Kwa wale wenzangu na mimi wasio na uwezo wa kuisikia sauti ya mavazi fulani, this is a very loud and clear signál she is a very serious person, she is no nonsense lady, sio mtu wa kuletea mchezo mchezo, hivyo huu ni ujumbe mzito loud and clear kwa wote wanaopanga kuleta au kufanya mambo yao ya ile michezo michezo yao ya ajabu ajabu, before they do, they better think twice, and if possible waache kabisa!. kama hapo mwanzo iliyokuwa "hapa kazi tuu" naona sasa kuna relaxation mood na laxity ya watu ku relax na kuanza kuleta tena ile michezo michezo..., hii dress code ya leo inaniambia ile slogan ya "hapa kazi tuu", inaendelea kwa "kazi iendelee".

Paskali

View attachment 2011746
ni kawaida yako kusifia ujinga, wala hatushangai
Hii ni nchi ya wasifiaji kutarajia teuzi
 
Back
Top Bottom