nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Mdogo wangu PaskaliMkuu Babati , kiukweli kuna michango mingine inakugusa hadi inakuumiza kwasababu ina ukweli mkubwa ambao unauma hivyo unaumia ila ndio ukweli wenyewe.
Human beings are not static, they are dynamic and hence, they changes with time, as days go by, the young and energetic people changes into old age and always try to fit and live in a certain lifestyle, while life also changes, with time, and place, hivyo if you can't change and adapt to the changing environment, then you just perish.
Naomba ni reserves mwingine ila kiukweli nimeguswa na jinsi nilivyo kuwa highly regarded humu jf na jinsi sasa ninavyo dharauliwa humu, hivyo na mimi nimebaini jf ina vilaza wengi kuliko tunavyotegemea, wao wanaona hili ni bandiko la mavazi tuu, hadi kuliita "utumbo".
Najitafakari
P
Ninaamini kuwa kila mtu ana kitu anachokipenda.
Wewe umeonesha kupenda sana kusifia viongozi hata kwenye mambo yasiyofaa,yanayoumiza taifa bila kujali watu wanakutazamaje na kukutafsiri.
Kwenye issue nyeti kabisa,wewe hushabikia mambo ya kipuuzi kabisa.
Ulikuwa shabiki mkubwa wa mwendazake,makonda,wakati wakiumiza watu,Leo hii umebaki peke yako na mdomo wazi.
Mdogo wangu husimami kwenye hali wala hujasimama kutetea wanyonge.
Hii inapelekea watu kukuona unatafuta uteuzi.
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app