Nilienda katika ofisi hiyo kutafuta huduma na kilichonishangaza ni kuona watumishi wa ofisi hiyo hawavai sare. Hapo zamani ukifika ofisi za Air Tanzania unakutana na watumishi wenye customer care na wamevaa sare za sketi blue na blouse za njano na beji kwa akina dada na wanaume wakiwa pia na sare zao ikionyesha kweli hii ni ofisi ya Air Tanzania.
Ofisi ya Air Tanzania hapa Mwanza haina tafauti na ofisi za kawaida ambapo hakuna utaratibu wa kuvaa sare. Igeni Mashirika mengine ya ndege kama Emirates, Kenya airways, Uganda airways.
Ofisi ya Air Tanzania hapa Mwanza haina tafauti na ofisi za kawaida ambapo hakuna utaratibu wa kuvaa sare. Igeni Mashirika mengine ya ndege kama Emirates, Kenya airways, Uganda airways.