Kiuhalisia Mbowe kakosea sana kutoripoti Polisi

Kiuhalisia Mbowe kakosea sana kutoripoti Polisi

Wewe kichaa kabisa. Unataka watu badala ya kufanya kazi na kubuni miradi ya maendeleo wabaki kusimama pembeni ya majukwaa wakisiliza sera, hata wakati ambapo muda wa uchaguzi na kampeni umekwisha?

Unataka nchi iingie kwenye anarchy kwa sababu tu ya kigezo cha uwepo wa demokrasia. JK aliruhusu demokrasia kwa upana wake, mtanzania wa kawaida ilimsaidiaje hali hiyo akaweza kuishi maisha mema zaidi?.

Huko Ulaya ambako bajeti yetu inachukua fedha za uendeshaji wake, wanao muda wa siasa na muda wa kubuni miradi ya maendeleo. Huwezi ukategemea siasa na demokrasia zikuongeze pato la taifa lako kama kweli wewe sio certified mental case.
Taifa linaongizwa kwa sheriana sio kwa Machale ya viongozi Taahira wewe.
Unataka usaidiweje uelewe. Kwanini usiache nature ichukue mkondo wake
Kama kweli uyalipokayo hapa ina maana mnaelewa kua wananchi ni mazwazwa kiasi mnawasaidia wasipotezewe muda na wanasiasa kwani wenyewe hawafikiri ? Kwwnini uende kwenye mkutano wa kisiasa wakati unakazi ya kufanya
Wewe taahira acha kujadili watu jadili hoja
JK Mara sijui nani ni matokeo ya mtindio wa akili
 
Issues na watu ni vitu vinavyoenda pamoja. Kuliko kujitia mjuzi wa matusi na maneno ya mtaani, mwambie huyo bro akachukuliwe vipimo vya mkojo.

Mzee Mtei anasononeka kwa aibu ya CDM hii aliyoiasisi na kuijenga mpaka ikaheshimika, nyinyi wapiga debe wa bei rahisi wala hamuwezi kuhisi fedheha iliyopo mbele yenu.
Good day
 
Taifa linaongizwa kwa sheriana sio kwa Machale ya viongozi Taahira wewe.
Unataka usaidiweje uelewe. Kwanini usiache nature ichukue mkondo wake
Kama kweli uyalipokayo hapa ina maana mnaelewa kua wananchi ni mazwazwa kiasi mnawasaidia wasipotezewe muda na wanasiasa kwani wenyewe hawafikiri ? Kwwnini uende kwenye mkutano wa kisiasa wakati unakazi ya kufanya
Wewe taahira acha kujadili watu jadili hoja
JK Mara sijui nani ni matokeo ya mtindio wa akili
Taahira ni wewe usiyejua kwamba FAM ni mkazi wa Dar, yupo chini ya RC wa Dar.

Kaitwa na RC wa Dar pale central kwa cheo cha mkuu wa kamati ya ulinzi ya mkoa. Hajaitwa kama mbunge mwendawazimu wewe.

Kayasome mamlaka ya RC, kayasome mamlaka ya mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, kabla ya kujitoa ufahamu na kuandika kitu chochote.
 
mimi sio ukawa wala ccm, na wazaaa hapa kwa uchambuzi wangu, i think amekosea mbowe kuto kwenda kituoni kama yeye ana jiamini na yeye ni mwenyekiti wa chama chake ange chukua jukumu ilo kwenda aengeitikia wito kwenda tuh kutoa support regardless nini baada ya kutoka ndo ange zi sema kasoro zote, mwisho kabisa yeye mmliki wa club kubwa tuh hapa town bilcanaz sio kama ana isimamia hatakua ana watu kawa ajiri kwajili ya kuismamia club yake so pengine wafanya kazi wake wanausika? maana kwenye club kuna mengi kuna wauza unga wanakuja kuwauzia watu pale etc, club nikama kijiwe inakua ndo maana mko wa mkoa alikua ana waita baadhi ya wamiliki sio kua wanatumia au wanauza pengine unapewa report kwamba club yako ina tumika vibaya tusaidie. na WAZA TU sitaki matusi na mtu
Mini maana ya utangulizi "Mimi sio ccm wala ukawa" unatushawishi nini sisi wasomaji?
 
.
Zijue HAKI zako na zitetetee. Usiwe muoga Mbowe anajitambua, polisi watamuita. Ila kule kwa Mkemia mkuu atapeta zitakuwa zilishajiflash labda kama anatumia Guberi.

Hahahhahahahahah kuna wale ambao hawaamini kama Nyumba ndogo kaitwa na hawajui kataja wangapi,poleni sana Chama Cha Masogange
 
Mtindio wa ubongo mnao nyinyi ambao kaka Aikaeli akikohowa mnapatwa na TB.

Mbowe anapaswa kwenda polisi na kuwaprove wrong huko huko, na sio kutengeneza mazingira ya kuweka siasa kwenye suala serious zaidi ya siasa.


hii ndo point ya msingi lakin hawawez kukuelewa kamwe siku likimwagika wataanza kuilamu serikali wakat muda wa kutatua jambo ulikuwepo.
 
Kama walikuwa wanaliamini walilolitamka kama ingekuwa kweli angekuwa anatembea leo mpinzani hata dhamana asingepata
 
Kwenye hili sakata la madawa ya kulevya kwa namna lilivyokuwa likiendeshwa na bwana Makonda ilikuwa ni nafasi nzur sana kwa yeye Mbowe kumuonesha Makonda hakuwa sahihi.

Hii ingetoa nafasi ya kujijengea imani kwa wapenzi wa UKAWA na CHADEMA ni kwa namna gani serikali inavyopambana na upinzani kuumaliza kwa kuwazushia mambo. Kitendo cha kutokwenda kinawaweka njia panda wapenzi wa CHADEMA kama anasingiziwa kiongozi wao au ni ukweli kulikuwa hakuna haja ya kutunishiana misuli baina yake na Makonda.

Mfano mzuri ni ndugu Gwajima kwa sasa anatembea kifua mbele na ataongea lolote bila hofu mana kapekuliwa kila kona na hajapatikana na hatia.

Kwanini akimbie ikiwa ni kiongozi mkubwa wa Kambi ya Upinzani? Hapa anatakiwa alimalize hili suala hata akisimama ktk majukwaa aongee bila kuacha viulizo kwa maana tayari atakuwa amewashinda na hili suala liende vizuri yafaa lisihusishwe na chama alikabili yeye mwenyewe.
Tatizo ni vipimo vya mkojo huenda vikaibua mengine
 
post yako tayari inakuhumu kuwa wewe huna akili kubwa kama mbowe.jitathimini mkuu
 
Mkuu hebu iweke habari yako katika aya.Hili lilikuwa ni somo dogo katika Somo kubwa la Kiswahili darasa la tano.Maada iliitwa "UTUNGAJI",hapa unakutana na imla,kutunga sentensi n.k

Turudi kwenye hoja:Huwezi kuitikia mwito ambao umekiuka sheria au una utata kisheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dsm,ambapo katika anuani ya bunge hainyoshi kuwa Mbowe ni Mkazi wa mji huo,hana "nguvu" ya kumuita Mbunge wa Jimbo la Hai,mkazi wa Hai,Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni,na Waziri Mkuu Kimvuli kama vile anamuita Wema Sepetu.

Huyu ni kiongozi,ni mbunge...na ukumbuke wakati anaitwa ilikuwa ni kipindi cha Bunge,hivyo mwito huo ulipaswa kuwa rasmi kupitia kiongozi wa bunge ambaye ni Spika.Huwezi kumuita "kienyeji" Mbunge na KUB ambaye ktk nchi za Jumuiya ya Madola huyu ni Waziri Mkuu Kimvuli,sauti ya upinzani na vyama mbadala ktk nchi.Jamani hamjui hata "Concept ya Political Pluralism" ktk nchi?

Huyu ni VIP...Ana diplomatic Pass...Huwezi kumuita kihuni huni kwa sbb ya "tuhuma tu".Yeye kuitikia mwito wako,ni kukubaliana na upuuzi wa uvunjaji wa taratibu ulioufanya.

Huyu Makonda madaraka yake mwisho daraja la mto Ruvu,ni uzuri wa teknolojia tu kwamba yale majina anayotangaza anatumia radio na Tv zilizofika mpaka Kalambo,Nkasi na Kibondo.Huyu ilitakiwa atangaze kupitia E-Fm na Praise Power Radio ambazo mawimbi yake yanaishia Mapinga Bagamoyo na Mlandizi-Kibaha.
Shukrani sana mkuu umemjibu vema. Mbowe alisema Mkuu wa Mkoa Makonda hana mamlaka ya kisheria ya kumuita mtu kituo cha Polisi.
Kesho twende kisongo kumtembelea Mbunge Godbless Jonathan Lema.
 
Back
Top Bottom