Kituo cha Mabasi Ubungo kutokuhamishwa

Kituo cha Mabasi Ubungo kutokuhamishwa

Hii serikali ya ccm imelewa kangara, au gongo ya shinyanga kabisa. hivi kweli tuna serikali inayo function? Angekuwa mwanaume tungesema huyu kumelala, sasa hawa sijui tusemeje. Ni aibu kwa serikali kila siku kushindwa hata kwa mambo madogo. Kwa nini wasikope fedha kwa "Rugemalila au Tbaijuka"?
 
Masaburi anafikiri kwa ma.ta.ko yake.
 
Halafu siku hizi hakuna bawacha hata mmoja mwenye adabu make hata wewe umekuwa mbugila kabisa.

Simiyu yako uwe na uzalendo kidogo. Ni kodi hiz za wananchi zimetumiwa vibaya kuvunja kituo na sasa wanakuja na drama za kushindwa kujenga Mbezi Louis na sasa wanasema wataboresha palepale. Walikuwa wanakimbizwa na nani hadi wafanye maamuz mabovu namna ile? Ni Tanzania pekee. Hapa alipaswa Meya awajibike kwa kuingizia hasara serikali. Huna hela huwez kuvunja halafu unaomba radhi na sasa wanataka kujenga tena kile walichovunja. Ni matope kwa kweli. Walikuwa na haraka ya nini hawa watoa maamuz?
 
Dah kweli hii nchi inahitaji mapinduzi
 
Pamoja na matatizo mengi ila Mkapa kwa kiasi chake alijitahid. Wakat ule stend zilikuwa ovyo kabisa pale kisutu na mnaz mmoja. Hata hivyo wasanii wakaja na mirad ya ujanja ujanja na kuvunja kituo kabla ya uhakika wa fedha. Matokeo yake ni hasara kwa Taifa. Pili ni adha ambayo wasafir wameipata katika kipindi cha miaka miwili bila ya sehem ya abiria na shida ya washroom. Lakin cha ajab ushuru ulitozwa kama kawaida wakat huduma zilifutwa, ni ajab kwa kweli!
 
Maelezo kwamba bajeti ya Mbezi imekwenda DART ni cimmedy.
 
Maelezo kwamba bajeti ya Mbezi imekwenda DART ni utata.
 
Mmawia.....kwa upeo wangu Azam anao uwezo mzuri wa kifedha,isitoshe anao uzoefu katika nyanja ya usafirishaji,anao wataalamu wa kigeni ambao ni wazuri ktk logistics za usafirishaji.Hayo ni mawazo yangu tu na niko tayari kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea.Kilimanjaro hali kadhalika yuko serious ktk nyanja hii ya usafirishaji hali kadhalika scandanavia
 
Hatuna serikali kabisa, mambo yanafanywa kienyejie enjeji tu bila mpango. Kila anayeamka na lake akiona ina maslahi kwake anaipigia upatu. Mwisho wasiku pesa za walipa kodi zinapotea bureee
Hebu Octoober ifike watu hawa waondoshwe kabisa kwenye ramani. Enough is enough
 
Simiyu yako uwe na uzalendo kidogo. Ni kodi hiz za wananchi zimetumiwa vibaya kuvunja kituo na sasa wanakuja na drama za kushindwa kujenga Mbezi Louis na sasa wanasema wataboresha palepale. Walikuwa wanakimbizwa na nani hadi wafanye maamuz mabovu namna ile? Ni Tanzania pekee. Hapa alipaswa Meya awajibike kwa kuingizia hasara serikali. Huna hela huwez kuvunja halafu unaomba radhi na sasa wanataka kujenga tena kile walichovunja. Ni matope kwa kweli. Walikuwa na haraka ya nini hawa watoa maamuz?
Kihalisia central hub ya usafiri inatakiwa iwe katikati ya mji! Then unalink njia zote hapo! Train na town buses! Sasa ubungo ndio perfect location! Train ya mwakiembe, bus za dart na up country busses! Sijui walitumia akili gani kufanya huo uamuzi ulioshindikana
 
Nyiye watanzania wa bara sijui hindi au vipi; msipopiga kelele hakika mawe yatapaaza sauti kukiokoa kizazi cha watoto wenu.
Shauri yenu!!
 
.......

Sababu kuu ni ukosefu wa hela. Hela waliyotarajia kuendeleza kituo kipya cha Mbezi zilipelekwa kwenye mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART).

Na hizo hela zilizokuwa na mradi wa mabasi yaendayo kasibzimeenda wapi? Maana zilikuwa bidgeted na ni loan/ Grant kutoka World bank.
 
magumash walishapanga budget sasa kwan dart imeanza leo hii hela imeeenda pengineee wafanye mpango watujengee kituo kingine watu wanataabika
Unaingia sehemu haina hata mlango wa kuingilia lakini unatozwa pesa halkuna choo wala mahali salama pa kula wala kupimzikia y ar they collecting pesa waanapeleka wapi!!?
 
Hili ni zengwe tu. Hii stand iliandaliwa tangu mapema kukabidhiwa azam.
 
Kwa kumbukumbu zangu, huu mradi umefeli Kwa sababu wafadhili wamegoma kutoa fedha ya kufinance huu mradi!

Wahisani wanataka stand ibaki pale pale UBUNGO, jiji wanataka ihame kutoka ubungo kuipeleka wapotaka!
 
Back
Top Bottom