Kituo cha Mabasi Ubungo kutokuhamishwa

Kituo cha Mabasi Ubungo kutokuhamishwa

Jimbo ni la chama gani......??? Kila kitu ccm acheni mawazo mgando

Jimbo la ubungo lipo chini ya CHADEMA ila stand ya ubungo si kwa ajili ya jimbo mkuu.

Maamuzi ya kimasaburi saburi hayahusiani ya jimbo la ubungo ama majina yanakuchanganya?

Masaburi ni meya wa DSM si wa jimbo la ubungo. Tofautisha kati ya alama ya kujumlisha kuzidisha na msalaba.
 
Kaomba samahani!! Halafu?? Serikali ya Kikwete...hatutaisahau milele. Hakika unaweza kufikiri ni hadithi za kutunga ila hii nchi the truth ia indeed stranger than fiction.
sitashangaa hata hizi barabara za mwendo kasi wakija sema wamekosea. Nothing surprises me anymore.
 
Jimbo la ubungo lipo chini ya CHADEMA ila stand ya ubungo si kwa ajili ya jimbo mkuu.

Maamuzi ya kimasaburi saburi hayahusiani ya jimbo la ubungo ama majina yanakuchanganya?

Masaburi ni meya wa DSM si wa jimbo la ubungo. Tofautisha kati ya alama ya kujumlisha kuzidisha na msalaba.

...kwa kumsaidia tu maana anajifanya hamnazo! ...buri ni zile nyama zinazotumika kupumzisha mwili kwa kukaa!
 
Halafu siku hizi hakuna bawacha hata mmoja mwenye adabu make hata wewe umekuwa mbugila kabisa.

Kwanza pole kwa kuukosa udc,pili nakuhakikishia kuwa hutaugusa huo udc,alafu wewe kama mwananchi mlipa kodi unafurahia kitendo cha jiji kubomoa ubungo bus terminal?alafu leo wanakuja na ngonjera ya kubaki palepale?huoni hii ni ubadhirifu wa fedha za walipa kodi?
 
Mawazo yangu tu....kituo kibinafsishwe kwa mwekezaji wa ki Tanzania mwenye taaluma ya usafirishaji.Awe na uwezo wa kukijenga na kukiendesha..Taboa kama wamejipanga wanastahili kupewa nafasi ya kwanza,Scandanavia express,kilimanjaro bus,azam hao wafikiriwe kama Taboa hawatakuwa tayari.

Azam anaingiaje hapa mkuu?kwa kuuza ice cream pale terminal?
 
Wajinga kweli kwa nini sasa walibomoa kabla hicho kingine hakijajengwa,ndo zao hawa tumewachoka,waliuza nyumba za serikali,leo watumishi wa umma wanaishi guest houses.

...na kwenye hoteli za kifahari i.e Magesa Mulongo! Tatizo chama chetu wanafikiri kwa kutumia masaburi!
 
Hayo tuliyategemea hasa baada kujengwa kwa ofisi mpya za kukatishia tiketi.
 
Yote yamesababishwa na uongozi dhaifu uliopo madarakani pesa zimeshaliwa na wajanja kama zile za escrow zilizovyoliwa kiulani na wahusika wote wapo mtaani wanakula bata ni tanzania pekee huu ujinga unafanyika.
 
Halafu siku hizi hakuna bawacha hata mmoja mwenye adabu make hata wewe umekuwa mbugila kabisa.

Mwone huyu naye, wewe un as ona sawa tu walicjofanya? Kuvunja kiyuo jalaf leo unasema juna hela za kukigamisha,Pumbaf!
 
hivi zile miambili huwa wanapeleka wapi?
 
Ni shida kituo kimechoka hadi tunatia aibu kwa wageni
 
kama hawakutangulia wenyewe ubaoni nitaongea na Mwanasheria wangu kuona namna ya kufanya .
 
Back
Top Bottom