Kituo cha Afya Fore Plan Clinic chafungwa

Sasa dawa mbaadala si hiyo mitishamba na matunda? Unahitaji wataalam wa aina gani? Mbona wamejaa tele huko mjini hadi wamaasai. Kusema tu hawajatimiza vigezo haitoshi. Watoe details ili watumiaji wajue na wajihadhari.
 
Dr bila digree. ujinga na wizi. wanachukua dawa za hospitali zikiwe ARV s na kuchanganya na miti shamba. ubatili mtupu
 
Dr bila digree. ujinga na wizi. wanachukua dawa za hospitali zikiwe ARV s na kuchanganya na miti shamba. ubatili mtupu
Kuna maduka ya dawa mbadala dawa za asili,wengi Wenye maduka Hawa,hawana elimu ya tiba mbadala,pia wangetizamwa kwa jicho LA tatu,afya ni muhimu,wanawapa watu dawa bila vipimo na maelekezo ya kubahatisha,wako kibiashara zaidi,sio kuwasaidia wagonjwa.
 
Clouds Tv na radio nao vipi, maana huwa wanamshadidia sana
 
Lakini nimejiuliza kitu kimoja! Hivi karibuni huyu bwana anashindana matangazo na kampuni za simu na coca cola kwenye television za hapa nchini, na kwenye ma blog mbali mbali n.k. Najua biashara ni matangazo na matangazo ni ghali. Ila swali ninalojiuliza ni hili, haya makampuni niliyoyataja yanatuvuna sana hela kwa uwingi wetu, Je Dr. Mwaka anatuvuna kwa kiasi hicho?
 

TFDA Haihusiki na Tiba Mbadala, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ndio jukumu lake, na ndio maana unaona wamemfungia wao na si TFDA.
 

 
Sikutarajia kituo kama hiki kufungiwa sababu dk Mwaka amekuwa akijatangaza sana kwenye radio na tv na niliamini kituo kina vigezo vyote vya kitaalamu vinavyotakiwa

Tatizo la nchi hii ni wahusika wa sekta mbalimbali kuzembea kuchukua hatua stahiki pale kunapojitokeza tatizo. Kama ni uchunguzi utachukua miaka mpaka watoe maamuzi watu wengi wanakuwa wameshaathirika. Tujitokeze kwa wingi tuyaondoe magamba!!!!
 
Afadhali waziri wa afya kidogo umefanya kazi binafsi mimi na familia yangu t7nakupongeza hongera sana waziri wa afya,huyo jamaa ni tapeli wa kufa mtu hafai hata kidogo kisifungiwe tu kifutwe kabisa!

Pole sana mkuu. Tushirikishe na sisi ni lipi baya lilikupata kwa dr. Year?
 

Sina shaka we mleta uzi ndio Mwaka mwenyewe maana ni dr bingwa wa kujipiga prömo. Jamaa amekariri kila vipindi vyake utasikia homonal imbalance na UTI. Hata ukiumwa kichwa atakwambia homon imbalansi.
 
Huyu mwaka si ndo yule anaandaa vipindi anajiuliza maswali na kujijibu mwenyewe!
 
Dr Mwaka anauza mihadarati na hilo wanalifahamu fika polisi na viongozi wakuu. Hiyo ya tiba mbadala ni kusafisha hela chafu tu. Huwezi uza miti shamba halafu ukamiliki mali na maisha yenye ukwasi mrefu kiasi hicho.
 
Sina shaka we mleta uzi ndio Mwaka mwenyewe maana ni dr bingwa wa kujipiga prömo. Jamaa amekariri kila vipindi vyake utasikia homonal imbalance na UTI. Hata ukiumwa kichwa atakwambia homon imbalansi.

Ha hahaha,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…