Kituo cha Afya Fore Plan Clinic chafungwa

Kituo cha Afya Fore Plan Clinic chafungwa

Mwenye kituo ameachwa au ameenda kunyea debe?:Serikali inatakiwa imchukue na mmiliki imtie ndani maana wanachezea sana afya za watu. Madawa yao ni ghali, na hayatibu chochote! Heko wizara ya afya
Si hao tu,mikoani wapo watu wamefunguwa maduka ya dawa za asili,na wanawapa watu dawa,kwa maelekezo ya kutumia.Yasemekana watu wengi yanawadhuru haya madawa,kwa vile hawa wanaouza hawana utaalamu wowote wa madawa.Lingetolewa tamko Maduka haya yawe na wauzaji waliosemea mambo ya madawa.
 
Mi navyohisi ni kuwa si kweli kuwa haya walikuwa hawayajui miaka yote ile ila itakuwa kuna mkubwa kamshika pabaya ndo wamemuamulia sasa.

Alimchungulia mke wa kigwangala wakati kaenda kutibiwa pale ndiyo maana kaja juu sana.
 
Mshukuru mola . pia endelea na dozi iishe usijali hii vita ya maslahi kati ya makundi hasimu dhidi ya hawa matabibu. Nilijizuia kuzungumzia hii vita yao maana kiukweli wamemkaba Mwaka simply sababu ya maslahi tu.

Samahani mkuu kwan mkeo nae alifunuliwa nguo wakat wa kupimwa hicho kipimo cha elfu 🔟
 
Alimchungulia mke wa kigwangala wakati kaenda kutibiwa pale ndiyo maana kaja juu sana.

It may be possible coz jamaa alikuwa anaoneka anahasira na alipania kumwonjesha joto ya jiwe. Hehehe..
Mi sijui Dr. Mwaka is wrong or right ila wanasiasa wafanye mambo kwa interest ya majority na sio personal issues kulazimisha zionekane ni for public.
 
Kwahiyo PV watafanyiwa puani..au mdomon..acha kuongea usichokijua km mkeo hutaki apimwe na mtu kampime mwenyewe
Yani mkuu cio PV tu ata PR sikuhizi tutafanya mdomoni hii nchi hii bhana hv kuna mtu anapenda chungulia kweli????lakin wao c ndo wamehiari au?
 
It may be possible coz jamaa alikuwa anaoneka anahasira na alipania kumwonjesha joto ya jiwe. Hehehe..
Mi sijui Dr. Mwaka is wrong or right ila wanasiasa wafanye mambo kwa interest ya majority na sio personal issues kulazimisha zionekane ni for public.
Pia wale Wamiliki wengine wa Clinic za Asili wamechangia kumfanyia Fitna japo na yeye ana mapungufu yake mengi hususani hilo la kuwavua nguo za ndani Wanawake wanaokwenda kwake kutibiwa,
 
Pia wale Wamiliki wengine wa Clinic za Asili wamechangia kumfanyia Fitna japo na yeye ana mapungufu yake mengi hususani hilo la kuwavua nguo za ndani Wanawake wanaokwenda kwake kutibiwa,

Sure kabisa. Ila la kuwavua vyupi naliona kama ni swala la kitabibu tu na kama waliovuliwa walikubali basi ni utaratibu wao na utabibu wao.
Hii nchi bana, somethings are just like maigizo tu.
 
Someni Mwaka wa uzi, ilifungwa na ilifunguliwa hadi sasa.
 
Hata Samunge kwa Babu, walienda wengi tu.Hatuna matumaini wala majibu ya matatizo ya magonjwa sugu hasa watu wa hali ya chini. Tunabaki tunahangaika na kubahatisha tu popote pale. Inatia huruma sana.
 
kama kweli anafanya hayo ya kuumbua wake za watu basi haponi mpka ahame nchi ameyataka mwenyewe
 
Back
Top Bottom