mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 93,813
- 132,053
Kawalamba sana wake za watu! AkiwasokomekaKilichomponza DR mwaka hiki hapa => alikuwa ameanza tabia za kuwavuta nguo zote Wanawake kisha kuwachungulia sehemu za Siri kwa kisingizio kuwa anachunguza maradhi na kupitisha vipimo kujua yaliyomo ndani, inasemekana mmojawapo ni mke wa kigogo na baadhi ya Wanawake wajanja wa mjini wengi kawafanyia huo Udhalilishaji ndiyo maana kigwangala kaamua kuzaa naye.
Kwanza mjini wake dah jamaa hafai