kiboksi manyoya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 377
- 311
Kama kondaktaKukurupuka ni noma sana
Kama kondaktaKukurupuka ni noma sana
Acha dharau kwa mama zetu including mama yako mzazi.du poleni sana mkuu bila shaka waliotoa taarifa ni wanawake maana akili za wanawake wanazijua wao tu.
Najua kwa vile uanaakili kama zao umefurahi kwa jambo ambalo wamelifanya, ogopa sana kuwekewa msiba ungali u hai.Acha dharau kwa mama zetu including mama yako mzazi.
Yawezekana labda uliokotwa, yaani huna mama unayemjua, huwezi kuwadharau wanawake kwa kiasi hichi. Ni lazima tuwaheshimu mama zetu, because I believe kuna wanawake wengi including mama mzazi wana uwezo mkubwa sana zaidi yako na wanaume wa aina yako. Kila binadamu anaweza kufanya makosa, maana huo ndio ubinadamu bila kujali jinsi ya mtu!Najua kwa vile uanaakili kama zao umefurahi kwa jambo ambalo wamelifanya, ogopa sana kuwekewa msiba ungali u hai.
Sawa mkuu nimekupata vyema.Yawezekana labda uliokotwa, yaani huna mama unayemjua, huwezi kuwadharau wanawake kwa kiasi hichi. Ni lazima tuwaheshimu mama zetu, because I believe kuna wanawake wengi including mama mzazi wana uwezo mkubwa sana zaidi yako na wanaume wa aina yako. Kila binadamu anaweza kufanya makosa, maana huo ndio ubinadamu bila kujali jinsi ya mtu!
Na kuwafungulia kesi ya uchocheziWatu kama hao ni wakukamata
Huyo hafi tena! Waliokuwa wameanza kufikiria mirathi sijui wakoje saa hiiJambo la ajabu limetendeka Makongo juu, mgonjwa kapelekwa hospitali Mwananyamala juzi akalazwa. Walioenda kumjulia hali jana asubuhi wakarudi wanalia kwamba mtu wetu kafariki. Taarifa zikasambaa ukawekwa msiba, maturubai, watu kibao tumelala msibani. Rambirambi zimechangwa.
Ajabu asubuhi hii aliyeenda hospitali kukamilisha taratibu za huko kaleta taarifa kuwa mgonjwa alikuwa hajafa, ila alihamishwa kitanda! Hivi ndo kila mtu kabaki mdomo wazi. Ndo tunaondoa maturubai na kurudisha makochi ndani.
My take: Tuwe makini, kabla ya kusambaza taarifa mtu kafa, tucomfirm kabisa na daktari na ikibidi ushuhudie mwili kabisa. Usumbufu mkubwa watu wamepata na itaathiri sana maisha katika familia ya mgonjwa.
Mungu aendelee kumponya. Amen.
Inabidi huyo mgonjwa afanye mpango tuu afe hamna namna!!Jambo la ajabu limetendeka Makongo juu, mgonjwa kapelekwa hospitali Mwananyamala juzi akalazwa. Walioenda kumjulia hali jana asubuhi wakarudi wanalia kwamba mtu wetu kafariki. Taarifa zikasambaa ukawekwa msiba, maturubai, watu kibao tumelala msibani. Rambirambi zimechangwa.
Ajabu asubuhi hii aliyeenda hospitali kukamilisha taratibu za huko kaleta taarifa kuwa mgonjwa alikuwa hajafa, ila alihamishwa kitanda! Hivi ndo kila mtu kabaki mdomo wazi. Ndo tunaondoa maturubai na kurudisha makochi ndani.
My take: Tuwe makini, kabla ya kusambaza taarifa mtu kafa, tucomfirm kabisa na daktari na ikibidi ushuhudie mwili kabisa. Usumbufu mkubwa watu wamepata na itaathiri sana maisha katika familia ya mgonjwa.
Mungu aendelee kumponya. Amen.
Umeona sasa!
KweliNa kuwafungulia kesi ya uchochezi
Astakafulahi x 7Mkuu kukutana na msiba ni bahati ee!
Maana unasema ulibahatika kukutana na msiba wa classmate wako!
Vipi rambirambi zenu mlizochanga mlirudishiwa?Jambo la ajabu limetendeka Makongo juu, mgonjwa kapelekwa hospitali Mwananyamala juzi akalazwa. Walioenda kumjulia hali jana asubuhi wakarudi wanalia kwamba mtu wetu kafariki. Taarifa zikasambaa ukawekwa msiba, maturubai, watu kibao tumelala msibani. Rambirambi zimechangwa.
Ajabu asubuhi hii aliyeenda hospitali kukamilisha taratibu za huko kaleta taarifa kuwa mgonjwa alikuwa hajafa, ila alihamishwa kitanda! Hivi ndo kila mtu kabaki mdomo wazi. Ndo tunaondoa maturubai na kurudisha makochi ndani.
My take: Tuwe makini, kabla ya kusambaza taarifa mtu kafa, tucomfirm kabisa na daktari na ikibidi ushuhudie mwili kabisa. Usumbufu mkubwa watu wamepata na itaathiri sana maisha katika familia ya mgonjwa.
Mungu aendelee kumponya. Amen.
Duh, huyo mgonjwa sijui atakuwa kapona maaana matukio ya vifo wodini huwa kama mchezo wa kuigiza.Details zilizopatikana hivi punde ni kwamba mke wa mgonjwa na mke wa jirani walipoenda jana asubuhi hospitali walikuta kitanda alichokuwa kalala mgonjwa kimezungushiwa curtains (sijui yanaitwa hivyo ). Wakaulinza wagonjwa wa karibu wakajibu aliyekuwa kitanda hicho alikufa usiku. Basi wakaanza vilio, hao mbio nyumbani bila kuwasiliana na uongozi wa hospitali . Kumbe usiku usiku mgonjwa wao alihamishiwa kitanda kingine. Pale alipokuwa akalazwa mgonjwa mwingine ambaye baadae usiku alifariki , hence the curtains and the response of other wagonjwa in the ward!!!