Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Ni kitu gani kinawazuia kununua mashamba kama wanavyonunua watanzania wengine?


Wachagga wangapi wamenunua na wanamiliki mashamba makubwa Morooogoro, pwani, Tanga na kwengineko?! Sio kana kwamba wachagga hupewa ardhi bure na serikali, wengi wamenunua na wanamiliki mashamba na maeneo mmakubwa sana mikoa mbalimbali hili liko wazi, hata Mimi nina shamba langu Geita kijiji cha IISULWA BUTINDWE, nilinunua kwa jamaa mmoja wa ukoo wa MABINA.

Kujibu swali lako ni rahisi sana, watu wakule vijijini wangapi wanajua maeneo makubwa yasiyo na watu kwenye mikoa mingine?!

Wakiomba ardhi ili wapate mashamba ya kulima ni kosa kisheria?!

Kwani wakina bakhera na wengine waliopewa ardhi na serikali wasingenunua kwa fedha zao?!
 
NGOJA NIKUSAIDIE KIDOGO KWASABABU KUNA MAMBO HUJAYAJUA NA KWA FAIDA YA WENGINE:-

• Kifupi ukiona Mtu yeyote anajiita Muarusha hata kama anazungumza kimasai still hana asili yoyote ya Umasai ila ubantu ambao ni wa kichagga au kimeru, kwasababu, kiasili na tangu enzi Wamasai hawafanyi vifuatavyo :-

* HAWALIMI, wakati Waarusha / Wameru tangu karne nyingi zilizopita wanalima migomba, mahindi, maharage,mbogamboga na nafaka zilezile kwa 100% zinazolimwa Kilimanjaro

*ASILI YA CHAKULA, Unaposikia LOSHORO au kitalolo ni vyakula vinavyotokana na mahindi, maziwa na ndizi. Kitalolo kina hadi mbogamboga, Vyakula hivyo havijawahi kuwepo Umasaini kwasababu Wamasai hawalimi mahindi wana ndizi, ila Wamasai chakula chao ni Nyama na Maziwa TU.

* AINA YA UFUGAJI : Wameru, Waarusha, Wachaga wana ufugaji wa ndani (Sedentary Livestock keeping) na wanafuga mpaka Kuku, wakati Wamasai kamwe hawafungii mifugo ndani isipokuwa wanatafuta malisho popote katika mkoa wowote hawana makazi ya kudumu.

* AINA YA MAKAZI : Kwa karne nyingi zilizopita Wameru/Waarusha/Wachaga wana makazi ya kudumu (Permanent settlement) ila Wamasai hawana makazi ya kudumu, hawana makaburi ya kudumu wala maboma yanayokaa mahala pamoja permanently.

WAKIBOSHO KUINGIA ARUSHA MIAKA YA 1800 :

ARUSHA ni neno linalotokana na ''LARUSA'' ambalo ni Ukoo uliopo Kibosho na uliohamia Arusha kabla hata Wamasai hawajafika Arusha ya leo.

Hawa wakibosho walifanya shughuli ya kuuza nyama mabuchani TU. Hakuna Mmasai aliyekuwa anauza nyama buchani isipokuwa wao wamasai walikuwa wanawauzia ng'ombe wakibosho na wakibosho wakiuza buchani kuwauzia wasomali walioishi kaloleni na waswahili wachache pamoja na wahindi waliokuwepo wakati ule Arusha mjini.

KIFUPI, Ukisikia Mtu anajiita Muarusha hata kama anakuambia ni Mollel, Laizer, Kivuyo, Siara au Sirikwa halafu amezaliwa Arusha mjini na Babu, baba yake kazaliwa Arusha mjini huyo ni Mkibosho ama Mmachame TU.

Baadhi ya Maboma ya kiarusha yenye asili ya kibosho ni kama Kirindo au Kirindoi ipo sanawari, Kishili ipo Sekei, Boma la Siara wapo Kijenge, Lesiando ipo Ilboru, Ndoivo - Ilboru, Kirusha ipo Ngaramtoni n.k, n.k ILA watakuambia wao ni Mollel au Laizer au Kivuyo.

NI KWELI, kuwa Wamasai waliwakuta Wakibosho wa ukoo wa ''LARUSA'' pale Arusha mjini hasa pale ATC na Levolosi, na wao wakawaita LARUSAI na mpaka leo hii na kesho Wamasai wa Simanjiro, Longido, Loliondo n.k wanawaita Waarusha ''LARUSAI''

WAMERU ni Wamachame kabisa wale lakini utasikia Mbise, Kitomari, Kaaya n.k lakini kiasili ni Wamachame na wana share like everything, wao walitengana kipindi cha uanzishwaji wa Dayosisi za Lutheran (hii ni historia nyingine tuiache)

Mengine uliyoyaandika ni Kweli.

Nakaribisha Maswali.

Loyalist


Shukrani kwa elimu kubwa , mambo kama haya ya kuelimishana ndio tinayoyataka humu jf. Hakika hili ni darasa kubwa. Tuendelee kupeana elimu kwafaida ya wengi.
 
Kumbe mnajua process za kununua mashamba na mnakiri kwamba mlishawahi kununua sasa mnakwama wapi?Inabidi nyinyi ndio muwafundishe wenzenu wa kijijini jinsi ya kupata mashamba sehemu nyingine au ikiwezekana muwakatie maeneo ndugu zenu acheni ubinafsi
Wachagga wangapi wamenunua na wanamiliki mashamba makubwa Morooogoro, pwani, Tanga na kwengineko?! Sio kana kwamba wachagga hupewa ardhi bure na serikali, wengi wamenunua na wanamiliki mashamba na maeneo mmakubwa sana mikoa mbalimbali hili liko wazi, hata Mimi nina shamba langu Geita kijiji cha IISULWA BUTINDWE, nilinunua kwa jamaa mmoja wa ukoo wa MABINA.

Kujibu swali lako ni rahisi sana, watu wakule vijijini wangapi wanajua maeneo makubwa yasiyo na watu kwenye mikoa mingine?!

Wakiomba ardhi ili wapate mashamba ya kulima ni kosa kisheria?!

Kwani wakina bakhera na wengine waliopewa ardhi na serikali wasingenunua kwa fedha zao?!
 




Tukumbuke hawa wenzetu wengi wamefanywa pesa na ndugu zao, so ukiona unatoa hoja anakupinga kwa matusi jua either unaongea na mwehu au zezeta aliyefanywa pesa tayari.


Nimecheka sana aisee,

Naona umeongea kinyume chake, hivi ni kabila gani linasifika kwa kuwachukua ndugu zao MISUKULE kama ilivyo kwa Wasukuma nasikia mnaita IMITUNGA?!

nasema uongo ndugu zangu?!

Kabila gani linasifika kwa uchawi tangu enzi za kina MWANAMALUNDI, akikanyaga jiwe (mwamba) unabonyea mpaka leo nyayo zake na alama za makalio yake sehemu aliyokalia mwamba ukabonyea bado zipo huko USUKUMANI.

Kabila gani linasifika kwa kuua wazee wake/ vikongwe kwa imani za kishirikina kama wasukuma?! Kisa wana macho mekundu kwa kupuliza kuni au kutumia mavi ya ng'ombe yaliyokauka kama kuni?! Tena mpaka mna wauaji wakukodisha kuua kwa mapanga.

Kabila gani linaongoza kwa kuua maalbino?! Kuwakata viungo vyao na kufukua makabuli yao Kama wasukuma?! Mpaka dunia nzima ilipiga kelele kulaani Tabia zenu chafu za mauaji?! Mmeifanya ardhi yenu kuwa ya laana kwa kumwaga damu za wazee na maalbino wasio na hatia, damu zao zitawaandama mpaka kiama!

Kabila gani lina makao makuu ya wachawi kama sio huko kwenu SIMIYU eneo la GAMBUSHI?! hivi huoni aibu kuandika upuuzi wako hapa wakati wenye akili wanasoma na kujua sifa zenu za uchawi ulioshindikana! Pengine hata wewe tayari ni imitunga usiyejielewa ufahamu wako umeshatekwa na ndugu zako wanakutumia katika mialo yao ya dagaa na majaruba yao ya kulima mpunga na mashamba ya pamba!
 
Nimecheka sana aisee,

Naona umeongea kinyume chake, hivi ni kabila gani linasifika kwa kuwachukua ndugu zao MISUKULE kama ilivyo kwa Wasukuma nasikia mnaita IMITUNGA?!

nasema uongo ndugu zangu?!

Kabila gani linasifika kwa uchawi tangu enzi za kina MWANAMALUNDI, akikanyaga jiwe (mwamba) unabonyea mpaka leo nyayo zake na alama za makalio yake sehemu aliyokalia mwamba ukabonyea bado zipo huko USUKUMANI.

Kabila gani linasifika kwa kuua wazee wake/ vikongwe kwa imani za kishirikina kama wasukuma?! Kisa wana macho mekundu kwa kupuliza kuni au kutumia mavi ya ng'ombe kama kuni?! Tena mpaka mnawauaji wakukodisha kuua kwa mapanga.

Kabila gani linaongoza kwa kuua maalbino?! Kuwakata viungo vyao na kufukua makabuli yao?! Kama wasukuma?! Mpaka dunia nzima ilipiga kelele kulaani Tabia zenu chafu za mauaji?!

Kabila gani Luna makao makuu ya wachawi kama sio huko kwenye SIMIYU eneo la GAMBUSHI?! hivi huoni aibu kuandika upuuzi wako hapa wakati wenye akili wanasoma na kujua sifa zenu za uchawi ulioshindikana! Pengine hata wewe tayari ni imitunga usiyejielewa ufahamu wako umeshatekwa na ndugu zako wanakutumia katika mialo yao ya dagaa na majaruba yao ya kulima mpunga na mashamba ya pamba!0
Tayari wa kwanza huyu.
 
Kumbe mnajua process za kununua mashamba na mnakiri kwamba mlishawahi kununua sasa mnakwama wapi?Inabidi nyinyi ndio muwafundishe wenzenu wa kijijini jinsi ya kupata mashamba sehemu nyingine au ikiwezekana muwakatie maeneo ndugu zenu acheni ubinafsi


Mbona hujajibu swali langu unarukaruka kama maharage ya mbeya?!

Nimekuuliza swali, wakiomba ardhi wapewe mashamba wamevunja sheria?! Hujajibu!

Kama waliwahi kuomba wakapewa wakiomba Leo kuna tatizo gani?! Hujajibu!

Bakhresa na wenzake waliopewa mahekari walime bila kununua hawakuwa na hela ya kununua mashamba?! Hujajibu!

Unarukaruka tu na. Kupuyangga puyanga viswali vilevile ambavyo havina logic zaidi ya chuki na wivu dhidi ya wachagga!

Kwani bakhresa hajui jinsi ya kununua ardhi akanunue?! Kwahiyo yeye ni mbanafsi sio?! Mbona sijasikia wasukuma wakipiga kelele juu ya hao wengine waliopewa mashamba hayo bure?!
 
Wewe ni punguani, Kimei ametoka BOT kaipaisha CRDB halafu kwa akili zako za mtindio unasema hafai kua kiongozi.
Alishakuwa sasa utamfanyeje

Chenge na lowasa walikuwa watendaji wa vijiji na kata
 
Nimecheka sana aisee.
Maana hawa jamaa kwa kuwaza pesa hawajambo.
Nikimuangaliaga mbowe anavyowachezesha akili huwa sina hamu mara kiti cha kugombea urais akiuze,mara awauze wakina mdee bungeni halafu anajifanya hausiki kumbe kashakula mpunga,halafu wale wafuasi wanatumia miguvu mingi kupambana
Tukumbuke hawa wenzetu wengi wamefanywa pesa na ndugu zao, so ukiona unatoa hoja anakupinga kwa matusi jua either unaongea na mwehu au zezeta aliyefanywa pesa tayari.
 
Mbona hujajibu swali langu unarukaruka kama maharage ya mbeya?!

Nimekuuliza swali, wakiomba ardhi wapewe mashamba wamevunja sheria?! Hujajibu!

Kama waliwahi kuomba wakapewa wakiomba Leo kuna tatizo gani?! Hujajibu!

Bakhresa na wenzake waliopewa mahekari walime bila kununua hawakuwa na hela ya kununua mashamba?! Hujajibu!

Unarukaruka tu na. Kupuyangga puyanga viswali vilevile ambavyo havina logic zaidi ya chuki na wivu dhidi ya wachagga!

Kwani bakhresa hajui jinsi ya kununua ardhi akanunue?! Kwahiyo yeye ni mbanafsi sio?! Mbona sijasikia wasukuma wakipiga kelele juu ya hao wengine waliopewa mashamba hayo bure?!
Sasa unajilinganisha na bakhresa?
Tanzania kuna akina Bakhresa au watu wenye level za Bakhresa wangapi?kwa haraka hawazidi watano kwa nchi nzima,kwa hiyo inaleta mantiki kuwapa upendeleo.
Haya sasa tuje upande wenu wachaga,kuna watu milioni ngapi wenye level ya makapuku kama nyinyi,jibu utapata zaidi ya milioni 40 au 50.
Sasa hawa wote wakidai wapewe mashamba na serikali itakuwaje?huoni kwamba halina mantiki kabisa
 
Nimecheka sana aisee.
Maana hawa jamaa kwa kuwaza pesa hawajambo.
Nikimuangaliaga mbowe anavyowachezesha akili huwa sina hamu mara kiti cha kugombea urais akiuze,mara awauze wakina mdee bungeni halafu anajifanya hausiki kumbe kashakula mpunga,halafu wale wafuasi wanatumia miguvu mingi kupambana
Mkuu mimi nipo hapa moshi, ukienda Uru pale kila mji lazima ukute mwehu

Marangu ndo usiseme

Rombo utakimbia mwenyewe

Huku utu ni pesa, ndio maana wakifika Mwanza au Moro hawarudi kwao hahaha.
 
hayo mambo nimeyasikia sana aisee,nasikia mtoto wa kwanza wa familia nyingi kule anafanywa zezeta na pia kila nyumba ina makaburi uwani.
Mkuu mimi nipo hapa moshi, ukienda Uru pale kila mji lazima ukute mwehu

Marangu ndo usiseme

Rombo utakimbia mwenyewe

Huku utu ni pesa, ndio maana wakifika Mwanza au Moro hawarudi kwao hahaha.
 
Sasa unajilinganisha na bakhresa?
Tanzania kuna akina Bakhresa au watu wenye level za Bakhresa wangapi?kwa haraka hawazidi watano kwa nchi nzima,kwa hiyo inaleta mantiki kuwapa upendeleo.
Haya sasa tuje upande wenu wachaga,kuna watu milioni ngapi wenye level ya makapuku kama nyinyi,jibu utapata zaidi ya milioni 40 au 50.
Sasa hawa wote wakidai wapewe mashamba na serikali itakuwaje?huoni kwamba halina mantiki kabisa


Huu. Ndio uzwazwa wa wasukuma, hakuna kabila la ovyo, la kipumbavu na kijinga kama nyinyi, hamjihamini hata kidogo ndio maana wazungu wakikuja kujichukulia madini almasi na dhahabu mkabaki kula mapanki na kufanya biashara za ukahaba kwa upande wa mama zenu.

Eti bakhresa ni level nyingine, on a msivyo jiamini, nyie hamna haki ya kumiliki mashamba mpaka bakhresa?! Nyie watu wapumbavu sana, alafu bado mnataka kujilinganisha na wachagga?!

Kama kujiamini tu ni mtihani mmeshajiona kuwa hamna haki wala uwezo wa kulima kama bakhresa ndio mtaweza kumiliki madini yenu?! Acheni kuwa na inferior complex jiaminini kama wachagga, kwani bakhresa ni nani ni Mungu wako?! Wewe ukipewa ardhi huwezi kulima mpaka bakhresa?! Stupidity!

Nyie watu wapumbavu kweli, yaani ni mzigo wa Miba, kwa ujinga na upumbavu wenu huu mtazidi kuwa umasikini mpaka Sikh Yesu anarudi swain kabisa!
 
Mkuu mimi nipo hapa moshi, ukienda Uru pale kila mji lazima ukute mwehu

Marangu ndo usiseme

Rombo utakimbia mwenyewe

Huku utu ni pesa, ndio maana wakifika Mwanza au Moro hawarudi kwao hahaha.


Aaahahaaa ndio maana wenzako wanakuita wewe ni imitunga.

Ulivyo na akili ndogo eti wachagga wakienda hawarudi kwao?!

Kuna kabila lina desturi ya kurudi kwao kama wachagga?! Acha kulinganisha wachagga na Makabila ya ovyo ovyo!
 
Back
Top Bottom