Kituko alichonifanyia wiki hii hakika amenichoka!

Kituko alichonifanyia wiki hii hakika amenichoka!

Kashachoka mlungura wa ndani, anatafuta mwingine huko nje
 
Mkinichagua kuwa Rais awamu ijayo, nitabadili sheria ya ndoa ili vyeti viwe na 'expire date' nadhani hizi stress zitakoma kama si kuisjs kabisà
 
Miaka 10 halafu badala ya kuongea na mkeo uulize tatizo nini unatuuliza sisi! We unachojua ni kusimamia baskeli usiku ku na kupiga pedeli mbona husemi mazuri yake pia?
Ubaya huficha mazuri la baiskeli mmhh
 
Salaam wadau

Wadau mimi nina mke ambaye nilioa kwa sheria zote za kidini na tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu,hapo mwanzo ndoa yetu ilikuwa ya furaha na mapenzi lukuki

lakini ndani ya mwaka moja ndoa imeanza kulega mke ananuna bila ya sababu unyumba ni wa mashaka na nikipewa naambiwa fanya haraka umalize nataka kulala,

jamani hii ya juzi kati ndio ilikuwa funika na kudhihirishiwa mke amenichoka na hana mapenzi tena

kama mnavyojua ukishamaliza kula unyumba mke huwa na kitambaa na kumfuta mumewe na huku akimbembeleza kwa maneno matamu

balaa lililonikuta mimi nilipewa unyumba kwa masimango baada ya kumaliza kula unyumba mke nikamuuliza kuhusu kitambaa

Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume

dah kushika ni sisimizi wale wenye vichwa vikubwa nikajikung'uta wakaisha nikalala kizazaa ilikuwa asubuhi uume una michanga aibu na lile tambara ni chafu hatari
jamani nilichoamua mimi nimuache sijui nyinyi waungwana mnashauri nini juu ya huyu mke

ushauri please kuna mapenzi tena hapo

ahsanteni
Uwongo mtupu Mara ndoa ina miaka 10 mara mwaka mmoja akaanza kubadilika acha kutunga!
 
Ukute mkeo huyo anajibu mashambulizi kwamba ww muongo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Dah yamekuwa hayoo
 
Duuh...location ya kitanda chako kiko nje nini maana kwa maelezo haya ng'e wako nje nje...Unabahati sana maana hawa wadudu ng'e na Tandu wange ng'ata mtalimbo wako sasa hv habari zingekuwa nyingine mkuu😀😀
 
Salaam wadau

Wadau mimi nina mke ambaye nilioa kwa sheria zote za kidini na tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu,hapo mwanzo ndoa yetu ilikuwa ya furaha na mapenzi lukuki

lakini ndani ya mwaka moja ndoa imeanza kulega mke ananuna bila ya sababu unyumba ni wa mashaka na nikipewa naambiwa fanya haraka umalize nataka kulala,

jamani hii ya juzi kati ndio ilikuwa funika na kudhihirishiwa mke amenichoka na hana mapenzi tena

kama mnavyojua ukishamaliza kula unyumba mke huwa na kitambaa na kumfuta mumewe na huku akimbembeleza kwa maneno matamu

balaa lililonikuta mimi nilipewa unyumba kwa masimango baada ya kumaliza kula unyumba mke nikamuuliza kuhusu kitambaa

Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume

dah kushika ni sisimizi wale wenye vichwa vikubwa nikajikung'uta wakaisha nikalala kizazaa ilikuwa asubuhi uume una michanga aibu na lile tambara ni chafu hatari
jamani nilichoamua mimi nimuache sijui nyinyi waungwana mnashauri nini juu ya huyu mke

ushauri please kuna mapenzi tena hapo

ahsanteni
Kazi kweli kweli
 
Duuh...location ya kitanda chako kiko nje nini maana kwa maelezo haya ng'e wako nje nje...Unabahati sana maana hawa wadudu ng'e na Tandu wange ng'ata mtalimbo wako sasa hv habari zingekuwa nyingine mkuu😀😀
wala hayo si ya kusema
 
Mpka home chumbani tena chini ya kitanda kuna michanga na wadudu hamfagii hyo nyumbani nyie wachafu sana
 
Mkuu labda anataka uwe unamla tigo ila kusema anashindwa kesho fanya kama imekosea njia
 
Back
Top Bottom