Kituko alichonifanyia wiki hii hakika amenichoka!

Kituko alichonifanyia wiki hii hakika amenichoka!

Hivi sisi wanaume tumekuwaje!?? Tunajishushia heshima sana.

Mdau, sio kila kitu kuja kushitaki kwenye mitandao ya kijamii.

Kuna mshenga, pia kama ni ndoa ya kikristo kuna wasimamizi, yaani wale walezi wa kiroho.

"Ukiishi na mwanamke, ishi naye kwa akili sana"

"Tamaa yako itakuwa juu ya mumeo, naye atakutawala... "

Usiku mwema mkuu...
Ni wachache sana wenye mawazo km yako!
 
Salaam wadau



Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume

Duu, hizo ndoa jamani sasa ni balaa tupu! Nimecheka sana niliposoma sentensi hiyo ya jitambaa la dera la zamani. Pole mkuu, uamuzi unao mkononi mwenyewe hamna cha ushauri tena hapo.
 
Mkuu kuna watoto humu,Unatukomaza na Hizo ndoa zenu za kufutiana mitambara!
 
Peleka kwao kuna anaempa jeuri ya nn kuishi maadui wawili chumba kimoja asira ikikupsnda utsozea jela apo.
 
Pole sana...

Inabidi uchunguze nani anampa kiburi chote hicho...

Cc: mahondaw

Napenda sanaaaaa pale tunapomaliza na kumfuta sweetbabaa yani huwa nasikia raha kweli vile navomfuta kama mtoto mchanga vile unaangalia vizuuuri vungu zote haha nkimaliza naibusu Malighafi na kumbusu kwenye lips

Smart911 bebii Ailavyuuuuu
 
Salaam wadau

Wadau mimi nina mke ambaye nilioa kwa sheria zote za kidini na tuna miaka kumi ndani ya ndoa yetu,hapo mwanzo ndoa yetu ilikuwa ya furaha na mapenzi lukuki

lakini ndani ya mwaka moja ndoa imeanza kulega mke ananuna bila ya sababu unyumba ni wa mashaka na nikipewa naambiwa fanya haraka umalize nataka kulala,

jamani hii ya juzi kati ndio ilikuwa funika na kudhihirishiwa mke amenichoka na hana mapenzi tena

kama mnavyojua ukishamaliza kula unyumba mke huwa na kitambaa na kumfuta mumewe na huku akimbembeleza kwa maneno matamu

balaa lililonikuta mimi nilipewa unyumba kwa masimango baada ya kumaliza kula unyumba mke nikamuuliza kuhusu kitambaa

Hakunijibu kitu alichofanya alifunua kitanda na kutoa jitambaa la dera la zamani akanitupia nijifute nami nikaanza kujifuta lakini ndani kama sekunde nikasikia nang'atwa kwenye uume

dah kushika ni sisimizi wale wenye vichwa vikubwa nikajikung'uta wakaisha nikalala kizazaa ilikuwa asubuhi uume una michanga aibu na lile tambara ni chafu hatari
jamani nilichoamua mimi nimuache sijui nyinyi waungwana mnashauri nini juu ya huyu mke

ushauri please kuna mapenzi tena hapo

ahsanteni
pole sana.siku zote mapenzi huwa ni kama mzani.ukiona mzani haupo sawa jaribu kujua mapungufu gani yaliyo pungua au kuna uzaifu gani mtu wa pembeni anaye tumia kupunguza mapenzi yenu hiwe rafiki,kupata mchepeko au kikwazo cha kipato,tabia za mabadiliko
 
pole sana.siku zote mapenzi huwa ni kama mzani.ukiona mzani haupo sawa jaribu kujua mapungufu gani yaliyo pungua au kuna uzaifu gani mtu wa pembeni anaye tumia kupunguza mapenzi yenu hiwe rafiki,kupata mchepeko au kikwazo cha kipato,tabia za mabadiliko
Nashukuru sana kwa ushauri
 
Napenda sanaaaaa pale tunapomaliza na kumfuta sweetbabaa yani huwa nasikia raha kweli vile navomfuta kama mtoto mchanga vile unaangalia vizuuuri vungu zote haha nkimaliza naibusu Malighafi na kumbusu kwenye lips

Smart911 bebii Ailavyuuuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

So sweet of you... That's my girl... That's my mahondaw... First few hours upo super shy... But ukishawaka daaah... Ni mtamu balaah...
 
Back
Top Bottom