Iphone 8 itatoka mwakini mwezi wa tisa, mwezi wa tisa mwaka huu inatoka 7s na ios 11,
Kawaida ya apple huwa wanafanya mabadiliko kidogo ya designing baada ya matoleo matatu na toleo la nne huwa na mabadiliko makubwa zaid.
Iphone 7s inakuwa na utofauti na iphone 7 kwa mtazamo japo sio mkubwa sana ila iphone 8 itakuwa tofauti zaid.
Ila performance ya iphone 8 haitakuwa na tofaut kuwa na iphone 7s, na zote zitamaliza kupokea update pamoja.
Iphone 5s na iphone 6 zinafanana kabisa kiutendaji
Iphone 6s na iphone 7 hali ni hiyo hiyo
Habari zote juu iphone 8 ni zakufikirika bado sio habar ramsi kutoka apple