Kitu kipya kinakuja Iphone 8

Kwenye hiyo presentation wametaja bei ya juu ni 799 na ni kuna option ya wireless charger
 

Video hii kali zaidi. Kuna mada nilisema computer ni uchawi jamaa wakiniona mjima. Maikilizeni huyo jamaa ametumia neno magic mara ngapi kwenye presentation yake.
 

Video hii kali zaidi. Kuna mada nilisema computer ni uchawi jamaa wakiniona mjima. Maikilizeni huyo jamaa ametumia neno magic mara ngapi kwenye presentation yake.
Magic maana yake siyo uchawi bali mazingaombwe.
Kutojua kitu kinafanyaje kazi haimaanishi ni uchawi
 
We jamaa mungu anakuona,sio kwa kutudanganya huko!!! iPhone 8 na 8plus na iPhone X zote zimeshatoka!!!
 
Dah we jamaa ni muongo kichizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…