rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,513
- 41,968
Daah noma sana hiyooo...Enzi hizo home familia nzima tulikuwa tumetoka tumeenda kwenye sherehe nyumbani alibakia dada yangu mkubwa basi kule harusini nikamzingua bi mkubwa kuwa kichwa kinauma nataka kurudi home ila lengo langu ilikuwa niende Uwanjani kucheza mpira, sasa nafika home nakuta mlango uko wazi nikaingia taratibu kufika chumba cha sista nakuta mlango uko wazi sista anagongwa kifo cha mende na anko wetu, nilirudi nyuma taratibu nikatoka mbio kurudi kwenye sherehe, ile ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona watu wakifanya mapenzi, sikuwahi kumwambia mtu na hawajui kama niliwaona hadi leo hii sista aliolewa ana watoto wanne na yule anko alikua anajifanyaga mkuda enzi hizo nikikosea nyumbani yeye ndio anaitwa anichape ila siku hizi huwa nakaa nae tunapiga tungi, nimepanga siku moja tukilewa nimchane nilimuona akimgonga sista.