Kitu gani unakijua kwa mtu wako wa karibu huku yeye akiamini hujui?

Enzi hizo home familia nzima tulikuwa tumetoka tumeenda kwenye sherehe nyumbani alibakia dada yangu mkubwa basi kule harusini nikamzingua bi mkubwa kuwa kichwa kinauma nataka kurudi home ila lengo langu ilikuwa niende Uwanjani kucheza mpira, sasa nafika home nakuta mlango uko wazi nikaingia taratibu kufika chumba cha sista nakuta mlango uko wazi sista anagongwa kifo cha mende na anko wetu, nilirudi nyuma taratibu nikatoka mbio kurudi kwenye sherehe, ile ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona watu wakifanya mapenzi, sikuwahi kumwambia mtu na hawajui kama niliwaona hadi leo hii sista aliolewa ana watoto wanne na yule anko alikua anajifanyaga mkuda enzi hizo nikikosea nyumbani yeye ndio anaitwa anichape ila siku hizi huwa nakaa nae tunapiga tungi, nimepanga siku moja tukilewa nimchane nilimuona akimgonga sista.
Daah noma sana hiyooo...
 
Nina rafiki yangu alinidanganya kuwa aliwahi kushika mimba ila alipata miscarriage wakati mie najua kuwa alifanya abortion ila hajui kama najua
Mic u mnooo, nkajua uko nje ya JF kumbe upo bhana.
 
Kwamba wauza supu wanadhani hatujui kuwa Ile Miko ni mikono ya watu na viti ni migongo ya watu tunakalia na supu kabla ya kuileta sokon lazima wachambie ule utoko wa asubuhi kabla hajaoga papuchi.🙄 Lakini tunakula tu maisha yanaenda😠
Usijali, dawa ya ukimwi tu hiyo ndo maana huugui hadi leo
 
Kikubwa tushibe
Kabisa!
Na nakwambia, kwa jinsi tunavyorogwa kwa kulishwalishwa vitu vya ajabu, tungelikuwa tuna hali mbaya sana ya kiafya.......kuanzia akili hadi mwili.
Najipa imani kuwa hawa wachawi huwa wanatutibu baadhi ya magonjwa bila wenyewe kujua;
Anakuja usiku kuuchambia mchuzi uliobakisha akiamini anakukomoa, kumbe amekupatia dawa ya tb bila kujua (maana pengine ndo dawa yenyewe).
Anakuja kukutolea mashuzi mdomoni usiku kucha akiamini anakudhuru, kumbe bila kutarajia anakupatia dawa ya tezi dume ugonjwa ambao ilibidi ukuanze siku chache tu zijazo.
 
Kuna jamaa niliweka fegi kwenye kasha sasa imebaki moja na iko sebureni

Ila naingia chumbani jamaa akaiunuka sasa mi nataka kurudi naona anaificha kwenye koti.

Tumepiga piga vipombe weee sasa muda wa kutoka ikabidi nimpe kiberiti aiwashe ili mi nivute kipande changu ye aende na chake.


Aseeeee sikutegemea mshtuko
 
Enzi hizo home familia nzima tulikuwa tumetoka tumeenda kwenye sherehe nyumbani alibakia dada yangu mkubwa basi kule harusini nikamzingua bi mkubwa kuwa kichwa kinauma nataka kurudi home ila lengo langu ilikuwa niende Uwanjani kucheza mpira, sasa nafika home nakuta mlango uko wazi nikaingia taratibu kufika chumba cha sista nakuta mlango uko wazi sista anagongwa kifo cha mende na anko wetu, nilirudi nyuma taratibu nikatoka mbio kurudi kwenye sherehe, ile ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona watu wakifanya mapenzi, sikuwahi kumwambia mtu na hawajui kama niliwaona hadi leo hii sista aliolewa ana watoto wanne na yule anko alikua anajifanyaga mkuda enzi hizo nikikosea nyumbani yeye ndio anaitwa anichape ila siku hizi huwa nakaa nae tunapiga tungi, nimepanga siku moja tukilewa nimchane nilimuona akimgonga sista.
***** ningekua mimi nilivo chizi nisingeacha hilo lipite hivi hivi maana kama unavodai alikua mkuda huyo uncle.

Ila me hali ya uncle wako niliipitia Mungu anisamee
 
Inaweza tokeo. Unaweza kuwekewa hata sumu ukapita kule halafu wakaoana. Wanawake siyo wazuri
Mm nishakula wake za watu watatu
Wake za watu kutoa papuchi siyo kazi ngumu. Unaweza ukamwambia naomba papuchi nimezidiwa mwenzio. Akakupa kwa kukuhurumia. Nawajua sana
Mke wangu yupo na kiboifrend chake wanadanganyana kuwa wataoana huko. 😁😁
 
Mama mchungaji kwenye jamii wana muheshimu kweli. Alikuwa anali na rafiki yangu. Sasa kuna siku alinikuta dukani na nunua K VANT, kaanza hubiri nikakausha sikutia neno.
Siku natoka mahali nakutananae kaanza kuni hubiria ile nakaribia geto nika mchana kuhusu jamaa najua ABC na nikamwambia ushahidi ninao. Hahahahahaha alikuwa mpole balaa akawa ananionea aibu.
Akaja kuniomba aje geto tuonge.
Alikuja mkuu ama??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom