😂😂😂Nilijua tu, tatizo unajiachia sana na sasa hivi nitakuteka mwenyewe ili nifanye mambo membe.
Nilikosa uwepo wako hapa hadi nikaomba waniondoe humu ila wakasema wanafanya juhudi urudi. Nashukuru wamesikia ombi langu.
Wee! Panya,mambo gn unataka kufanya?
Kuna kitu ambacho ukikisahau mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako au uchelewe ili ukirudie? Kitu gani ambacho kitakulazimu kukirudia na kuchelewa uendako??
Mi nikisahau simu nyumbani hata kama sipo mbali na naenda kazini sirudi aisee ntakuta simu zilizokosekana na meseji.
- Kadi za atm
- Funguo
- Mkoba[pochi]/Wallet
- Leseni ya udereva
- Mpakato
- Tablet
- Simu
- Hela
- Chaja za simu
- Au chochote
kumbe umeanza kuchepuka kitambooooSimu ama funguo za niendako.
Enzi za kuandikiana barua za mapenzi. Si nikaisahau barua ya baby home. Nakuja kukumbuka nshafika shule. Nilifamani kurudi ila haikuwezekana mana kama ningerudi ingebidi niseme naumwa.
mi simu sio mpenzi saaana
Usinilazimishe mkuu, mi mwajiriwa so simu sio kitu cha kunirudisha home, as long nina heka ya kwenda na kurudi job naishi tuhuwezi tembea bila simu kwa dunia hii labda kama una kula kwa baba au mama au ukweni labda wanawake ndio wanakipaji hicho ila sio ss wapambanaji
Kuna kitu ambacho ukikisahau mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako au uchelewe ili ukirudie? Kitu gani ambacho kitakulazimu kukirudia na kuchelewa uendako??
Mi nikisahau simu nyumbani hata kama sipo mbali na naenda kazini sirudi aisee ntakuta simu zilizokosekana na meseji.
- Kadi za atm
- Funguo
- Mkoba[pochi]/Wallet
- Leseni ya udereva
- Mpakato
- Tablet
- Simu
- Hela
- Chaja za simu
- Au chochote
Kuna kitu ambacho ukikisahau mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako au uchelewe ili ukirudie? Kitu gani ambacho kitakulazimu kukirudia na kuchelewa uendako??
Mi nikisahau simu nyumbani hata kama sipo mbali na naenda kazini sirudi aisee ntakuta simu zilizokosekana na meseji.
- Kadi za atm
- Funguo
- Mkoba[pochi]/Wallet
- Leseni ya udereva
- Mpakato
- Tablet
- Simu
- Hela
- Chaja za simu
- Au chochote