Kitu gani ukikisahau mahali lazima ukirudie?

Kuna kitu ambacho ukikisahau mahali iwe nyumbani, Ofisini, au mahali popote lazima uahirishe uendako au uchelewe ili ukirudie? Kitu gani ambacho kitakulazimu kukirudia na kuchelewa uendako??

  1. Kadi za atm
  2. Funguo
  3. Mkoba[pochi]/Wallet
  4. Leseni ya udereva
  5. Mpakato
  6. Tablet
  7. Simu
  8. Hela
  9. Chaja za simu
  10. Au chochote
Mi nikisahau simu nyumbani hata kama sipo mbali na naenda kazini sirudi aisee ntakuta simu zilizokosekana na meseji.
Wewe ni mwajiriwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom