Kitu gani kinamsisimua mwanamke

Kitu gani kinamsisimua mwanamke

49340416-6484-4DB2-85A6-4912A1B10F1D.jpeg
 
Kuna yule muhajemi mmoja anasema wanawake hawajui wanataka nini mkuu fanya uchunguzi na kunazia wa miaka 55+
 
Niliwauliza wanawake 40+ swali moja la ajabu sana…

“Ni kitu gani mwanaume hufanya ambacho kinawasisimua zaidi ?”

Nilidhani wangesema:

Misuli ya tumbo.
Pesa.
Au ubabe wa mwanaume.

Lakini majibu yao lilinishangaza.

Karibu wote walisema kitu kimoja…

Sio kile mwanaume anachofanya.
Ni kile mwanaume ANACHOSEMA.

Hapa ndipo wanaume wengi wanapokosea.

Wanaume wengi wanafikiri mwanamke anawashwa na nguvu ya muda mrefu kitandani, au kujionyesha uwezo wa pesa n.k

Lakini ukweli ni huu:

Mwanamke anachokozwa na akili yako kabla hujaguswa na mwili wako.

Ukweli mwingine ambao wanawake wengi walisema ni huu:

1. Mwanaume anayemzingatia mwanamke kikamilifu humwasha zaidi.

Sio mwanaume anayejionyesha.

Bali mwanaume anayejua kusoma hisia zake, kumtazama, na kumfanya ajisikie ndiye kitu pekee duniani wakati huo.

Hapo ndipo mvuto halisi huanza.

2. Kudumu muda mrefu siyo kitu muhimu saana kama wanaume wanavyofikiri.

Wanawake wengi walisema wazi:

“Kama mwanaume hajui kuamsha hisia zangu za ndani, hata lisaaa nzima litanichosha.”

Wanachotaka ni dakika chache zenye hisia kali na muunganiko wa kweli.

3. Tatizo kubwa la wanaume wengi ni kuogopa kumaliza mapema.

Hofu hiyo huwafanya wapoteze kitu muhimu zaidi…

connection ya kiakili na mwanamke.

Na hapo ndipo hisia zinakufa.

4. Maneno ya mwanaume yana nguvu kubwa kuliko anavyofikiri.

Maneno ya mwanaume anayosema kabla hata mambo kuanza yanaweza kumfanya mwanamke:

• awe na hamu
• awe na msisimko
• au apoteze hisia kabisa.

Kimya mara nyingi humfanya mwanamke aanze kufikiria vitu vingi.

Lakini mwanaume anayejua kutumia maneno kujenga mvuto anaweza kuamsha hisia kabla hata hajamgusa.

Ndiyo maana wanaume wachache sana wanaelewa siri hii:

Wanawake wengi hawaanzi kuwashwa mwilini…
wanaanza kuwashwa akilini.

Ukielewa hilo tu, tayari umefahamu kitu ambacho wanaume wengi hawajui.


Ni kitu gani mwanaume alisema au alifanya ambacho kilikuvutia sana kuliko vingine?

Andika maoni yako hapo chini. 👇

Abuu Abdillah
Nimejitahidi kuelewa imeshindikana!
 
Niliwauliza wanawake 40+ swali moja la ajabu sana…

“Ni kitu gani mwanaume hufanya ambacho kinawasisimua zaidi ?”

Nilidhani wangesema:

Misuli ya tumbo.
Pesa.
Au ubabe wa mwanaume.

Lakini majibu yao lilinishangaza.

Karibu wote walisema kitu kimoja…

Sio kile mwanaume anachofanya.
Ni kile mwanaume ANACHOSEMA.

Hapa ndipo wanaume wengi wanapokosea.

Wanaume wengi wanafikiri mwanamke anawashwa na nguvu ya muda mrefu kitandani, au kujionyesha uwezo wa pesa n.k

Lakini ukweli ni huu:

Mwanamke anachokozwa na akili yako kabla hujaguswa na mwili wako.

Ukweli mwingine ambao wanawake wengi walisema ni huu:

1. Mwanaume anayemzingatia mwanamke kikamilifu humwasha zaidi.

Sio mwanaume anayejionyesha.

Bali mwanaume anayejua kusoma hisia zake, kumtazama, na kumfanya ajisikie ndiye kitu pekee duniani wakati huo.

Hapo ndipo mvuto halisi huanza.

2. Kudumu muda mrefu siyo kitu muhimu saana kama wanaume wanavyofikiri.

Wanawake wengi walisema wazi:

“Kama mwanaume hajui kuamsha hisia zangu za ndani, hata lisaaa nzima litanichosha.”

Wanachotaka ni dakika chache zenye hisia kali na muunganiko wa kweli.

3. Tatizo kubwa la wanaume wengi ni kuogopa kumaliza mapema.

Hofu hiyo huwafanya wapoteze kitu muhimu zaidi…

connection ya kiakili na mwanamke.

Na hapo ndipo hisia zinakufa.

4. Maneno ya mwanaume yana nguvu kubwa kuliko anavyofikiri.

Maneno ya mwanaume anayosema kabla hata mambo kuanza yanaweza kumfanya mwanamke:

• awe na hamu
• awe na msisimko
• au apoteze hisia kabisa.

Kimya mara nyingi humfanya mwanamke aanze kufikiria vitu vingi.

Lakini mwanaume anayejua kutumia maneno kujenga mvuto anaweza kuamsha hisia kabla hata hajamgusa.

Ndiyo maana wanaume wachache sana wanaelewa siri hii:

Wanawake wengi hawaanzi kuwashwa mwilini…
wanaanza kuwashwa akilini.

Ukielewa hilo tu, tayari umefahamu kitu ambacho wanaume wengi hawajui.


Ni kitu gani mwanaume alisema au alifanya ambacho kilikuvutia sana kuliko vingine?

Andika maoni yako hapo chini. 👇

Abuu Abdillah
Hapa umezungumzia wanawake wa enzi za KALE.
Hawa wa kizazi cha sasa, ukitaka kuamsha hisia zake uwe na HELA kwanza ndipo mengine uliyoorodhesha yatapokuwa na nguvu.
Kinyume na hapo ni maigizo.
 
Kisimi nyonya uonee mkuu
Kumnyonya mwanamke ni "weakness" wala sio kumridhisha, kujitafutia fungus mdomoni pasipo sababu yoyote. Wanaume hawatakiwi kuhangaika na hivyo vitu, kunyonya nyonya mbususu, tafuta PESA na umpe MUDA wako pia kuienjoy hio pesa, hivyo tu utamridhisha mwanamke.
 
Back
Top Bottom