kuna aka katabia ka kumpigia mtu simu badala ya kukusikiliza kujua kwa nini umempigia simu anaanza kukuuliza hivi 'nani amekupa namba yangu'. Nashut down
mi ngoja nikazime main switch kabisa ili asiweze kuwasha tena PC yake..sasa mkuu hiyo nashut down ndio nini?au unaiga ile nalog off?wabongo bana!
sasa mkuu hiyo nashut down ndio nini?au unaiga ile nalog off?wabongo bana!
kuna aka katabia ka kumpigia mtu simu badala ya kukusikiliza kujua kwa nini umempigia simu anaanza kukuuliza hivi 'nani amekupa namba yangu'. Nashut down
Yule analog off mi nazima kabisa
Sipigii mtu simu, napigiwa mie
sasa mbona unajibu wakati umezima.
Mimi nakerwa na tabia kama za kwako_za kuleta thread halafu unaleta utani mwenyewe,....i.e mtu unampigia/anakupigia halafu analeta utani usio na msingi,...hope umenisoma mkuuNimewasha tena ila Nashut down
kuna aka katabia ka kumpigia mtu simu badala ya kukusikiliza kujua kwa nini umempigia simu anaanza kukuuliza hivi 'nani amekupa namba yangu'. Nashut down
sasa mkuu hiyo nashut down ndio nini?au unaiga ile nalog off?wabongo bana!