Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 479
- 1,253
Unapokuwa unaishi kwenye jamii ishi na watu vizuri na changanyikeni na wanazengo katika matukio mbalimbali kama misiba na ulinzi usijione kwamba wewe ni mtu anayeishi dunia nyingine.
Kuna jirani yangu kavamiwa na kuibiwa kila kitu licha ya kupiga mayowe na kelele kuomba msaada badala yake kila aliyekuwa anaamka alikuwa anamjibu, "Pigia polisi simu wakusaidie" wanarudi kulala.
Wanazengo walikuwa wanapigiana simu ili kujua kelele za wapi na nini, wakijua ni kwa fulani wanarudi ndani huku wakisema, "Mwambie apigie polisi simu wamsaidie".
Nashauri hata kama upo vizuri kiuchumi na huku ukiwa na geti kali ishi na watu vizuri kwa kuchangamana nao na kushirikiana nao fresh.
Ukitaka kujua kama watu wanakupenda au lah! Gombea nafasi ya umma au patwa na shida.
Kuna jirani yangu kavamiwa na kuibiwa kila kitu licha ya kupiga mayowe na kelele kuomba msaada badala yake kila aliyekuwa anaamka alikuwa anamjibu, "Pigia polisi simu wakusaidie" wanarudi kulala.
Wanazengo walikuwa wanapigiana simu ili kujua kelele za wapi na nini, wakijua ni kwa fulani wanarudi ndani huku wakisema, "Mwambie apigie polisi simu wamsaidie".
Nashauri hata kama upo vizuri kiuchumi na huku ukiwa na geti kali ishi na watu vizuri kwa kuchangamana nao na kushirikiana nao fresh.
Ukitaka kujua kama watu wanakupenda au lah! Gombea nafasi ya umma au patwa na shida.