mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,526
- 19,919
Mkuu haikupita mwaka alinitafuta na kuniomba sn nirudiane nae.Uamuzi huo ni dalili ya ukomavu wa kiakili na kifikra. Ila akija kukuomba msamaha akimaanisha, msamehe. Huyo anaonekana ndiye mkeo.
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Akaenda mbali zaidi akasema jamaa wa chuo alimdanganya na hakuwa na mapenzi ya kweli na yeye.
Nilimwaga Mazima nikakata na network zote kwake..
Kuna siku niliona picha zake kwenye mitandao ya kijamii..
Nilijiuliza sn niliwezaje kumpa vitu vyote vile.
Yaani ni mwanamke wa kawaida Sana.
Kweli mapenzi yakiisha ndy utaona uzuri halisi wa mpnz wako..