Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
israel haitengezi ndege mkuu,hawana technology,wanazidia mpaka na uturuki wanaotengeza F-16.Kuna mambo mawili wanayo fanya.
1. Wanatengeneza ndege ambayo haionekani kwenyw radar yako
2. Wanaingilia system ya radar yako ili wakati wao wanapita na ndege zao wewe kwenye rada yako wanakuwekea movie ya kanumba uendelee kuenjoy![]()
![]()