Kitimtim Bungeni: Wenje atolewa nje ya Bunge

Kwa kanuni rahisi tu za ktakwimu 78% ni majority kwa hiyo ingekuwa busara sana kwa vyama vya upinza kudesign mikakati kuhakikisha wanapandisha hiyo idadi. Na njia rahisi nitarudia ni kuendeleza harakati walizoanzisha kina Slaa za ujenzi makini wa hoja kwa kuzingatiia kanuni. Kufukuzwa bungeni hauwezi kuwa mkakati endelevu katika siasa za kisasa. Lazima wajifunze kupambana na siasa kw kuzingatia realities kuliko kung'ang'ania kujenga taswira ya kuonewa na kulazimisha waonekane wameonewa hata kama ukweli hauoneshi hivyo
@Thintank CCM wana 78%, the remaining inatoka upinzani. Please soma my comment again - nimesema upinzani (total) siongelei chama kimoja cha upinzani hapa maana hata tafsiri ya neno upinziani imekuwa modified na bunge la Makinda to include anything outside ccm-box.
 
....... Mwenyekiti amegoma na kusema mjadala wa bunge unaweza kuahirishwa tu pale nchi inapokuwa kwenye vita na kwa sasa nchi haiko kwenye vita....

kwa mwenendo huo plus matatizo ya kiuchumi na kijamii due to having an incompetent government, huyo chaimeni haoni nchi iko vitani??
 
Sifa moja ya mlevi ni kupiga kelele zisizo na msingi na hicho ndo tunachoshuhudia siku za karibuni, mara fungeni milango tupigane, mara so what, mara kauli za leo za kilevi. Mbona kina slaa walitumia approach za kistaarabu tu na wananchi tuliwaelewa?
Hebu fafanua huo ulevi ndugu!Maana hujaeleweka kabisa!
 
Najaribu kufikiria nachojifikiria Anna Makinda moyoni mwake.....''Tundu Lisu mchochezi anataka bunge lisitawalike huyu''....., tehee tehee CCM wabadilike siyo kila mwaka ni 1990
cyo mchochezi!Ni mtetezi wa wanyonge!Jembe la ukweli hlo,watakoma mwaka huu!
 
Hali ilikuwa ngumu leo mpaka m/kiti akaaita maafisa usalama wa bunge kumtoa mbunge wa upinzani nje aliye kuwa akiomba mwongozo kuhusu kupata mda wa dharula ili mweshimiwa lisu awasilishe ushahindi wake..baada ya hapo umeme ulikatika hatukuona kama alitolewa au laa..kamaa kuna habari zaidi tunaomba wanaa jf umtujulishe..
 
Kama unafuatilia bunge kwa umakini hili suala limeshakemewa mara nyingi sana na spika aliyepo hata kama hukubaliani naye. Na hapa sijahalalisha mapungufu yanayoonyeshwa na upande wa CCM. Naongelea tukio la leo la Wenje na athari yake katika mijadala yenye afya kwa ajili ya taifa hili. Mimi nafikiri CDM walijitofautisha mwanzo kama chama cha Hoja makini. Hicho ndicho kilichowavutia watanzania na si huu uchanga wanaouonyesha saisa.
Tangu lini wabunge wa ccm na spika/wenyeviti wao wakajua umuhimu wa muda? Tumeona kila siku wakishukuru wake zao, majirani, na kututangazia nani anamtumia nani sms. Ni kama ccm wao wana 36 in a day na sio 24! Hivi inakuwaje uchaguliwe mwezi wa october 2010, lakini unatoa shukrani (kwa dakika 3) kwa waliokuchagua, mwezi July 2011!?
 
Kwenye red: Huyo mwenyekiti ama anaugua ugonjwa wa akili au anafikiri watanzania ni vilaza. Week iliyopita wakati baada ya wabunge weengi kuonesha kutokuunga mkono hoja wa bajeti ya Wizara ya Naishati na Madini, Waziri mkuu aliomba muda wa week tatu ili wajipange na baada ya hoja kukubalika, Spika Anne Makinda aliahirisha kikao cha bunge. Hakukuwa na kikao cha jioni. Sasa huyu mwenyekiti anataka kusema Tanzania ilikuwa kwenye vita siku hiyo? Wamemtoa wapi huyu mwenyekiti mzushi?
katokea jimbo la DOLE
 
kama m/kiti ni yule aliyepoa kama kuku anayeumwa mdondo, wala wenje asitoke.
 
Kwa kanuni rahisi tu za ktakwimu 78% ni majority kwa hiyo ingekuwa busara sana kwa vyama vya upinza kudesign mikakati kuhakikisha wanapandisha hiyo idadi. Na njia rahisi nitarudia ni kuendeleza harakati walizoanzisha kina Slaa za ujenzi makini wa hoja kwa kuzingatiia kanuni. Kufukuzwa bungeni hauwezi kuwa mkakati endelevu katika siasa za kisasa. Lazima wajifunze kupambana na siasa kw kuzingatia realities kuliko kung'ang'ania kujenga taswira ya kuonewa na kulazimisha waonekane wameonewa hata kama ukweli hauoneshi hivyo

If aint broke, dont fix it!
Hii tabia ya kufukuza au kutoka nje kwa wabunge imeleta manufaa makubwa kwa CHADEMA. Zitto na Buzwagi, hotuba ya rais baada ya uchaguzi mkuu 2010. Na hata kwa kuangalia comments hapa JF unaweza ku-sense response. Watu wengi will agree na Wenje (believe it or not). Halafu rudi kwenye source ya saga yenyewe- hivi ni kweli wanafunzi hawachangishwi? This is what will FUNIKA ukweli wa 'Waziri mdogo' wa elimu. Ni mzazi gani hajalipishwa michango?
 
Hali ilikuwa ngumu leo mpaka m/kiti akaaita maafisa usalama wa bunge kumtoa mbunge wa upinzani nje aliye kuwa akiomba mwongozo kuhusu kupata mda wa dharula ili mweshimiwa lisu awasilishe ushahindi wake..baada ya hapo umeme ulikatika hatukuona kama alitolewa au laa..kamaa kuna habari zaidi tunaomba wanaa jf umtujulishe..
Wote tulikua gizani mkuu!We dont knw what happened!!
 
Ndugu zangu lile zogo la tundu lisu kudai naibu waziri kadanganya bunge limeendelea ambapo ilifikia hatua ya mwenyekiti wa bunge kutoa amri ya kutolewa nje ya ukumbi wa bunge kwa nguvu na askari wa bunge, lakini kabla hatujashuhudia wenje akitolewa nje, tanesco wakatukkatia umeme. ni siku ambayo mbunge wa zamani wa nyamagana ccm, bw. lawrence masha alikuwa mgeni ndani ya bunge na alitambulishwa. mlioshuhudia kizaa zaa hicho hadi mwisho tusaidieni kutujuza..

hivi huyo Lawrence katembelea/kaalikwa na bunge, kuna uhusiano gani kati ya Lawrence na huyo mwenyekiti wa leo wa kutoka Dole na mwisho kuna bifu gani kati ya Lawrence na Wenje ?? naomba mnieleweshe tafadhalini Wakuu wangu
 
Zitto hakutoka katika mazingira ya kipuuzi kama ya Wenje, kimsingi Zito alitoa hoja yake na kila mtu alijuwa kuwa ya Buzwagi na baadaye Spika ndiyo akatoa judgement. Kwa wenje alichofanya ni kuharibu mwenendo mzima wa mjadala kwa kupiga makelele yasiyo na msingi. Na ndi maana nakuhakikisha kuwa kwa behaviour ya leo Wenje hawezi kupata reception kwa watanzania kama aliyopata Zitto na sidhani CDM watarisk kumtembeza ncho nzima kama ilivyokuwa kwa Zito kwa sababu scenario hii si kama ile ya Zito. Binafsi sidhani kama kulikukwa na umuhimu wa kubehave kama alivyofanya leo. Na si busara kuiga alichofanya Zito katika mazingira yale kwa sababu huo mkakati haukuwa endelevu. Hata ile walk out haikuwa na faida kubwa sana kisiasa kwa CDM zaidi ya kuleta divisions ndani ya chama chao na kureinforce notion kuwa chama hicho ni cha fujo.
If aint broke, dont fix it!
Hii tabia ya kufukuza au kutoka nje kwa wabunge imeleta manufaa makubwa kwa CHADEMA. Zitto na Buzwagi, hotuba ya rais baada ya uchaguzi mkuu 2010. Na hata kwa kuangalia comments hapa JF unaweza ku-sense response. Watu wengi will agree na Wenje (believe it or not). Halafu rudi kwenye source ya saga yenyewe- hivi ni kweli wanafunzi hawachangishwi? This is what will FUNIKA ukweli wa 'Waziri mdogo' wa elimu. Ni mzazi gani hajalipishwa michango?
 
Back
Top Bottom