Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
mwenyekiti wa leo naona yupo kama yupo tu,walikuwa wanajaribu kutoa hoja ili tundu lissu apewe muda wa ziada wa kukabidhi taarifa yake
Kweni mwenyekiti leo ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyekiti wa leo naona yupo kama yupo tu,walikuwa wanajaribu kutoa hoja ili tundu lissu apewe muda wa ziada wa kukabidhi taarifa yake
Hawa muda si mrefu watachapana makonde humo bungeni!Mwongozo wa Spik, soryyy, mwenyekitii..Bunge livunjwe kwa hoja ya dharura...i mean, emergency...kanuni ya 68(4) hooo sory 68(8) Mwenyekiti...mwenyekiti sio mwongozo bali hoja binafisi...Kaa chini..sajenti mtoe nje huyo...mh, nani atoke, usimtoe bwana..., mwongozo wa mwenyekiti kanzwa...tuendelee.Mhe. Waziri wa Mifugo: David Mathayo David..tuendeleee..
Mwongozo wa Spik, soryyy, mwenyekitii..Bunge livunjwe kwa hoja ya dharura...i mean, emergency...kanuni ya 68(4) hooo sory 68(8) Mwenyekiti...mwenyekiti sio mwongozo bali hoja binafisi...
Kaa chini..sajenti mtoe nje huyo...mh, nani atoke, usimtoe bwana..., mwongozo wa mwenyekiti kanzwa...tuendelee.
Mhe. Waziri wa Mifugo: David Mathayo David..tuendeleee..
Kama macomedians vile.....Huko Bungeni kume kua kama Big Brother,kila siku vituko.
Wabunge wa Chadema wamezidi uhuni, muda wa ziada wa nini wakati Tundu Lisu alisema yuko tayari kutoa sasa hivi. Wanaharibu sana quality ya mijadala.
wenje alitaka kutoa hoja ya dharula lakin akakataazwa na mwenyeketi lakin yeye aling'ang'ania mwisho wa siku ikaamliwa atolewe nje huku Mdee alitaka kutoa taarifa lakin akachinjiwa baharin.Tatizo ni nini hadi wamtoe nje?
DU!
Mbona leo Bunge linakwenda kimzobemzobe hivyo?
Napenda kujua huyo mwenyekiti ni nani haswa!...i
Hilo jimbo liko wapi?mwenyekiti wa leo ni yule aliyezubaa kuliko wenyeviti wote nadhani anaitwa sylivester mabumba mbunge wa dole.