Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Naibu waziri kashikwa pabaya na MB Tundu Lissu, busara za mwenyekiti zimemsaidia sana NW coz TL alishaanza kusoma ukweli na uongo wa NW. TL kadai NW kadanganya Bunge na Ushahidi anao sasa hivi. M/kiti kamwambie asome ushahidi na ananza kusoma, MB mwingine anaomba mwongozo kusema alete ushahidi badae na kipindi cha maswali na majibu kiendelee.
Nadhani inahusika na wananchi kuchangishwa na serikali. NW akitaka kujitetea, M/kiti anampiga stop. Bunge tamu kweli sasa hivi.
Nadhani inahusika na wananchi kuchangishwa na serikali. NW akitaka kujitetea, M/kiti anampiga stop. Bunge tamu kweli sasa hivi.