Kiti kung'ang'aniwa 2030

Gubiti daah kitambo ndiyo zilikuwa chokleti zetu Enzi zile. Unanunua moja unamung"unya taratibu mpk home.
Mkuu kumbe wewe muhenga,nikajua kadogo ka 2000 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸΎβ€β™‚οΈπŸƒπŸΎβ€β™‚οΈ
 
Wewe kinyeo kweli kweli katika historia yako hapa tanzania ni rais gani kaingia madarakani kwa kuia maelfu ya wananchi zaid ya muislam wenu
 
mbonaliyepo ni wa hiyo dini na anajiona mungu mtu...punguza unafiki
 
Sh 10 mbona bei ghali sana sisi wa shilingi wkt ina thamani mkuu unapewa sh 5 kwa siku tano maza kaenda IDM hapo
10 apo ilikua unapata ngubiti 2,Mimi nilikua napewa 50 ad 100 kwenda nayo shule aloo nilikua na ma bodi guard shule hunigusi πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Apo una kuta sh 10 inashiling Moja Moja 10 ndani yake wooooi,ukipewa sh 20 tulikua tunaita paluu oya kiboss kabisa shuleni unakula na chenchi zinalud kama zote
 
10 apo ilikua unapata ngubiti 2,Mimi nilikua napewa 50 ad 100 kwenda nayo shule aloo nilikua na ma bodi guard shule hunigusi πŸ˜‚πŸ˜‚
Sisi shilingi tano kwa wiki nzima kwa siku sh 1, na unakula gubiti na miwa fresh kbs teeena kibosi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…