Kitengule Tegeta Kibaoni ni hospitali ya hovyo

Greg50

JF-Expert Member
Feb 11, 2014
1,953
2,431
Unafika pale usiku wa manane na mgonjwa aliezidiwa, mnaingia kwa daktari badala ya kuwahudumia anatype tuu kwenye computer kwa dakika zaidi ya kumi na tano huku akiwaambia msubiri.

Sasa sijui anasubiri mpaka mgonjwa afe hapo mbele yake ndio amuhudumie au vipi?

Hii ni huduma ya hovyo sana, ilibidi nimuhamishe mgonjwa wangu haraka sana kwenda hospitali nyingine yenye huduma nzuri na tulihudumiwa haraka sana.
 
Ruka hapo Rabininsia Hospital utahudumiwa fasta hakuna Longo longo kitengo cha emergency kiko active 24hrs.Hawa bila hata pesa kama mginjwa kazidiwa atapata huduma kwanza pesa badae wengine bila pesa hakuna huduma unafia kwenye benchi.
 
Unafika pale usiku wa manane na mgonjwa aliezidiwa, mnaingia kwa daktari badala ya kuwahudumia anatype tuu kwenye computer kwa dakika zaidi ya kumi na tano huku akiwaambia msubiri. Sasa sijui anasubiri mpaka mgonjwa afe hapo mbele yake ndio amuhudumie au vipi? Hii ni huduma ya hovyo sana, ilibidi nimuhamishe mgonjwa wangu haraka sana kwenda hospitali nyingine yenye huduma nzuri na tulihudumiwa haraka sana.
ulimpeleka hospital gani? kuwa open kama ulivokuwa kwa kitengule
 
Unafika pale usiku wa manane na mgonjwa aliezidiwa, mnaingia kwa daktari badala ya kuwahudumia anatype tuu kwenye computer kwa dakika zaidi ya kumi na tano huku akiwaambia msubiri. Sasa sijui anasubiri mpaka mgonjwa afe hapo mbele yake ndio amuhudumie au vipi? Hii ni huduma ya hovyo sana, ilibidi nimuhamishe mgonjwa wangu haraka sana kwenda hospitali nyingine yenye huduma nzuri na tulihudumiwa haraka sana.
Wewe ni mgeni hapo tegeta?

Umeacha rabinsia unaenda kitengule
 
Ruka hapo Rabininsia Hospital utahudumiwa fasta hakuna Longo longo kitengo cha emergency kiko active 24hrs.Hawa bila hata pesa kama mginjwa kazidiwa atapata huduma kwanza pesa badae wengine bila pesa hakuna huduma unafia kwenye benchi.
Welldone mkuu kwa taarifa hii, kama sikosei huu ni uzi wa pili wenye lawama kuhusu huduma mbovu hapo Kitengule Hosp,tusifuate muonekano mzuri wa majengo, fuata huduma bora
 
Labda daktari alikuwa ana Gugo material ajue aanzie wapi
Hapana, I'm certain that they are using electronic health management system for record keeping.
Changamoto ipo kwenye kuandika, watanzania wengi Hatuwezi kutumia computer properly, tunatype kama kuku anavodonoa punje.
 
Hawa Jamaa kitu pekee ambacho wanajua ni kutoza gharama kubwa..

Ped zinc ya buku mbili pale Kitengule unainunua kwa 11,000.
Nilipeleka mtoto wakasema anamchafuko wa damu wakaandika dawa kwenda dirishani naambiwa elfu 24 nikatoka kwenda pharmacy pale nje nikazinunua kwa elfu 6.Na ukiwa na bima utarundikiwa dawa mpaka utashangaa.
 
Back
Top Bottom